Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Katiba inasemaje,Makamu wa Rais akijiuzulu?Ajiuzulu, asijiuzulu; atajua mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba inasemaje,Makamu wa Rais akijiuzulu?Ajiuzulu, asijiuzulu; atajua mwenyewe.
Nami nimelifikiria hili kwa makini, kunani?Huyu mwamba ana maamuzi magumu sana ,msije kushangaa mwezi June akajiuzulu kweli maana sio kweli wanaweza kumaliza Kwa miezi mitatu.
Hata Mimi nimehisi Kuna kitu hakipo sawa , mwamba anataka kujiuzulu hata Leo lakini Kwa sababu kujiuzulu Sasa kitakosa logic kaamua kutumia usomi sana na ieleweke huo Mradi kukamilika mwezi June ni kitu ambacho ni kama hakiwezekani.