Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Basi nimeelewa!. Mtu mwenye uwezo wa graphology analima nyanya na vitunguu?!.Kule mimi hakunifai kabisa mkuu. Kilimo cha nyanya na vitunguu huku Mbuyuni naona kinanitosha sana.
Na ni mama anaejali piaKweli kabisa afu mama fulani mtulivu sana anaongea kwa kufikiria sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio jf, kila mtu anaelewa kile tuu ambacho ndio mwisho wa uwezo wake wa uelewa!.Ampokee???
Sijaelewa hapa mkuu?
I was just need clarification.Hii ndio jf, kila mtu anaelewa kile tuu ambacho ndio mwisho wa uwezo wake wa uelewa!.
P
Nimekupata ushauri mzuri ila inabidi SISIEMU wavunje norm yao ya nyundo 10 maana kwa miaka hii mi5 maji yamekorogeka na kuna uzi ulisema sector nyingi zimeporomoka na sasa ukasema media house zinapumulia mshine zipo ICU,kwahiyo akipora tena kwa miaka mingine mi5 iTZ tutakuja kuwa ombaomba kama tulivyokuwa miaka ya 1960's wakati nyerere anakbidhiwa nchi,bora agombee 2020 hapa JMT.Soma bandiko hili uone nilishauri nini!
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza - JamiiForums
P
Duh...!. Naona manyota tuu!, nimetoka kapa!.Mkuu, umekuwa frontliner kwa muda mrefu sana, ukifanya kila uwezalo kwa lengo zuri la kuonya, kuelekeza, kujenga na kuweka misingi.
Mimi nahisi baada ya miska mingi ya harakati zako sasa hivi ingekuwa na muda muafaka kwako kufanya mapinduzi hakisi ya kifikra vichwani mwa vijana kwa kujikita kwenye wewe kujikita kwenye Social Engineering, naamini ungesaidia sana nchi yetu.
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza - JamiiForumsI was just need clarification.
Labda niulize tena.
unapendelea Ampokee 2020 au 2025?
Mamlaka makubwa wanayaweza wanaume tu.
Wanaume ndo watu wenye guts za kufanya decision kwenye dunia hii.
Wanawake hupewa mamlaka pale mambo yanapokuwa sawa ili walee mazuri.
Aliongoza vema bunge la katiba lililoitupilia mbali rasimu ya Warioba (wananchi) na kukumbatia ile ya Chenge! Kweli vichwa vya panzi vingi.Huyu Mama yuko strong kwa uhalisia;
TAZAMA:
- Aliongoza vizuri sana Bunge la katiba.
- Amekuwa anawakilisha vizuri taifa kwenye forums za kimataifa za wakuu wa nchi.
- Anamwakilisha vizuri raisi kwenye mbalimbali yanayomshinda kwa sababu mbalimbali.
- Kipindi hiki janga la korona hajaonekana kutafuta execuses, anapambana na majukumu kiofisi - ofisini kama kawaida.