Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Basi nimeelewa!. Mtu mwenye uwezo wa graphology analima nyanya na vitunguu?!.Kule mimi hakunifai kabisa mkuu. Kilimo cha nyanya na vitunguu huku Mbuyuni naona kinanitosha sana.
Haya bana, tuendelee na jf yetu tuko wengi na kuna mengi!.
P