Asante MMKJ. The man is simple, humble and down to earth. Hana majigambo, hajisikii, yaani yopo yupo tuu. Mungu ambariki sana!.
Nakumbuka mwaka 2002 alikuja Rome kuhudhuria Mkutano wa World Food Day, Ten Years After. Baada ya Mkutano, on his way home, Alitakiwa apande Alitalia mpaka Bern, aunganishe na Swiss Air back home. Kufika airport Taarifa zikaja Alitalia imefilisika hivyo hakuna ndege. swissair wakamwambia asubiri hapo atatumiwa ndege nyingine any moment. Alisubiri tangu saa 2 asubuhi mpaka saa 10 Jioni. Balozi wakati huo Mahalu akashauri arudi hotelini lakini Muungwana akasema atasubiri tuu hapo hapo kama watu wengine.
Alipata fursa ya kuongea na waTanzania tuliokuwa hapo, kusema kweli ni mtu wa ajabu, hakuonyesha kukerwa kokote, yaani ana uvumilivu wa ajabu. Wangekuwa viongozi wengine mbona pangekuwa hapatoshi.
Binafsi japo tuliteseka sana haswa akina sisi wa senti zero on your way home, lakini
Tulifarijika sana kuteseka na Mkuu wetu miongoni mwetu.
He is really A Man of The People!. Tena bora JK asimalizie his second term bali ampishe huyu jamaa. Ni mtu wa Swala 5 kiukweli sio za kuzugia ama kuonyeshea watu waone. Nchi itatulia neema na ustawi vitaonekana.