dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
"... maisha yao yote". Na isomke hivyo.Kwanza wala hawakuwa na mpango wa kwenda huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"... maisha yao yote". Na isomke hivyo.Kwanza wala hawakuwa na mpango wa kwenda huko.
Muhimu marufuku imetoka, hata kwa bahati mbaya wasilete puaKwanza wala hawakuwa na mpango wa kwenda huko.
Hata likiwa la wSoko la picha za X
Uko Tandahimba hapo, au Makambako, alafu unadiriki kuwasema hovyo wenye dunia yao? Uhuru umekuzidia wewe!Kuna nchi kama Ulaya na Marekani ukiwa unaenda ukoo mzima utakusindikiza airport
Urusi haitakiwi hata kuaga utaenda mwenyewe hakuna mtu yuko interested sana sana atakushangaa unaenda wapi urusiiiiiii!!!
Wewe mfano ukioa au kuolewa na mrusi au ukapewa uraia Urusi unadhani waweza jidai kuwa umetoboa kimaisha kama ukioa mwanamke mmarekani au wa Ulaya au kuoa mwanamke au kuolewa na mwanaume wa Ulaya na Marekani?Uko Tandahimba hapo, au Makambako, alafu unadiriki kuwasema hovyo wenye dunia yao? Uhuru umekuzidia wewe!
Unaenda kununua nini Urusi as individuals?Soko lilioko urusi la kuuza na kununua ni zaidi ya mufikiriavyo,
Ukipigwa ban na urusi lazima uathirike tu
Naunga mkono hoja mia kwa miaUnaenda kununua nini Urusi as individuals?
Urusi imefungua milango kila mtanzania anayetaka kwenda aende hakuna restrictionUnaenda kununua nini Urusi as individuals?
Kukodi injini za kuwawezesha kwenda anga za mbaliUrusi aende akafanye nini
Silaha,nafaka nk,Unaenda kununua nini Urusi as individuals?