Makamu wa rais wa Tanzania ni mtaalamu wa nuclear

Mwingine anaitwa Dr. Mohamed Tulli alikuwa anafundisha Kuwait. Toto la Kariakoo.
Sasa mbona hatuoni mchango wao kwenye kuchangia maendeleo ya Taifa letu kwenye secta hii hadhimu,
nadhani kuna kitu kinawaunganisha ambacho kimewajengea msingi wa ubinafsi na ukosefu wa msukumo
wa maendeleo
 
Watanzania bwana. Sasa tulitaka asiingie kwenye siasa afanye nini? Hivi hamjui mambo yote tanzania yanategemea siasa? Wewe hata uwe professor sijui kutoka pale NASA ukija tanzania bila mchongo kupitia siasa wewe ni bure tu. Sasa huyu Dr. Bilali kwa wanaomjua hata sasa yuko fiti na anaweza kuingia darasa lolote pale USA na akakata nondo. Lakini kwa sababau mambo yote kwetu ni siasa inabidi aingie jikoni kabisa kuliko kuimbiwa kushoto kulia. Si mnakumbuka sakata la Baregu? kama watanzania kweli wanapenda nchi hii ni wakati wakuandalia mazingira mazuri wasomi hili wakae vyuoni. Mazingira ya kufanya tafiti na kuishauri serikali katika mambo mbalimbali ya taharuma zao inabidi waige nchi zilizo endelea je ni kwa nini wataalamu ktk nchi zilizoendelea wanakaa sana vyuoni kuliko kukimbilia siasa lakini nchi zetu ni kinyume chake.

Atakayefuatilia kwa karibu atapata jibu na hatakosoa mtaalamu sijui wa nyukilia kuingia katika sisa za bongo, mbonA hata mwandyosa, mwakyembe, Mwakyusa, Maghembe, Kapuya nk ni watahalamu wakutisha katika fani zao.

Kinachoudhi ni pale mcheza ngoma na twisti anapo ingia kwenye siasa akaonekana wa maana sana kuliko professor.
 
Huyu alipata U dokta baada ya kuwagaragaza CHADEMA.
"mgema akisifiwa....."
Acha uongo.Alipewa udr. ili watakapokuwa kwenye kampeni za uraisi na DR. W.P Slaa asionekane kupwaya.Maana ka BA kake ukilinganisha PHD ya ukweeee! ya DR.Slaa, yaaani angeonekana kilaza wa kumfa mtu.
 

FF wakati mwingine nakukubli sana kwa ushahidi wa wazi,big up
 

Thanks FF, umemsaidia sana mleta mada, anaeonekana aidha ni mvivu au hajui kuwa haya yanapatikana kwa ku-serach! Good day mkuu!
 
Duhh! hata Mkwanda humkumbki?
Huyo asiemkumbuka mtemi huyo nani?ni mdarisalama kweli huyo au alikuja baadae,maana hawataki wenyewe kuitwa wakuja siku hizi,angalau tuwafanyie staha tuwaite waliokuja baaden..
 

Kwa Tanzania hapa hiyo taaluma inamsaidia kufungua makongamano na kutembea na mkasi mfukoni kuzindua majengo n.k
 

Mungu epushia mbali, watakufa hata kinu kimoja hawajaacha.
Yah Prof Kandoro bado afadhali yeye anaendelea japo kupika warithi wake (hata kama si nuke) ila huyu Sheikh Bilal ni tumekula hasara tu kwa kutumikia kwake siasa nyepesi....
 
"mgema akisifiwa....."
Acha uongo.Alipewa udr. ili watakapokuwa kwenye kampeni za uraisi na DR. W.P Slaa asionekane kupwaya.Maana ka BA kake ukilinganisha PHD ya ukweeee! ya DR.Slaa, yaaani angeonekana kilaza wa kumfa mtu.

Wewe hushangai mtu ambae hana BA wala MA ana PhD? Dahh, nikiwaambia mnachekesha hampendi, haya, mnashangaza!
 
Huyu alipata U dokta baada ya kuwagaragaza CHADEMA.

FaizaFoxy una akili kama mchwa!
Nilikuwa sijui kwamba kuna somo katika vyuo vikuu linaitwa CHADEMA, ambalo unaweza kulifanyia research na kutunukiwa shahada ya pHD!!!
Kazi kweli kweli.
Ndiyo maana Tz iko pale pale miaka nenda rudi, kwenye kitu seriuos watu wanaingiza masihara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…