Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Mkuu nilijuwa nitakuta kuku unamchanganya na mahindi au nafaka zingine! kumbe hata kuku mwenyewe tu ukimkaanga na viungo nae anaitwa makande!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano hapa namuandaa samaki umeona alivyo badirika rangiYaani kuku mwekundu unambadili rangi awe mwekundu
Sio makande ni makange umesoma vibayaMkuu nilijuwa nitakuta kuku unamchanganya na mahindi au nafaka zingine! kumbe hata kuku mwenyewe tu ukimkaanga na viungo nae anaitwa makande!
Uatakjwa unahesabu vipande vya nyama we jamaa maana sio kwa kukaanga huko.Naoa mwezi ujao 😂
🤝🤝Kabisa mkuu
Ahahah hapana iyo tabia ya mtu mchoyoUatakjwa unahesabu vipande vya nyama we jamaa maana sio kwa kukaanga huko.
Kama kuku wa kienyeji mchemshe kwanza kama wakisasa utainjoyKuna sehemu nilikula hicho chakula ila kuku alikua wa kienyeji, kuku mgumu mbayaa nilikasirika nikasema siji rudia kula ila hapa naona umenitamanisha tena. Nitajaribu kupika mwenyewe nione.
Nadhani hawakumchemsha akalainika na alikua na shombo kama lote.Kama kuku wa kienyeji mchemshe kwanza kama wakisasa utainjoy
Shida mtu anaiga kama sasaiv kuna watu wanapika pilau nyama hawaichemshi kwanza wanaiweka mbichi sijawai penda ile styleNadhani hawakumchemsha akalainika na alikua na shombo kama lote.
Chakula kinakosa mvuto.Shida mtu anaiga kama sasaiv kuna watu wanapika pilau nyama hawaichemshi kwanza wanaiweka mbichi sijawai penda ile style
Hongera sana, mshahara Bado sijapata nitafanya hivyo!kitalembwa aliombaa hii
Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi
View attachment 3244235
Kwanza nilimuwekea viungo
Food color
Tangawizi ya kusagwa na chumvi
View attachment 3244236
Nimamuacha kama lisaa hivi ili viungo vikolee nikaendelea na mambo mengine
Baada ya kulizika na mda na kuona kuki viungo vimekolea nikaanza kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya kupata moto nikamuweka kuku wangu kumkaanga
View attachment 3244239
Baada ya kuona kuku amekaangika vizuri
View attachment 3244244
Baada ya hpo nikachukua vitunguu vyangu ambavyo nilivikata vizuri tu nikaweka
View attachment 3244245
Vitunguu viziungue vilegee tu kama hivi usilazimieshe mpaka vibadilike rangi itakuwa mbaya
View attachment 3244247
Nilipo lizika na uivaji wa kitunguu nikaamua kuweka hoho nilikata kwa style ya kusimama
View attachment 3244249
Baada ya hpo nikaweka karoti
View attachment 3244252
Ili ukate karot stlye hii lazima karot yako uilaze hivi na usiisimamishe
View attachment 3244253
Baada ya hapo nikaweka nyanya kidogo tu wengine wana tumia tomato past mm siipend naon ina utamu utamu so nilisaga nyanya kidog tu moja tu niliisaga wengine hawaweki kabisa nyany ni wewe na mapenzi yako mimi nilipenda hivi
View attachment 3244255
Nika koroga ili mchanganyiko uwe mzuri zaidi
View attachment 3244257
Na makange yangu yangubyalikuwa hivyo kuku ni mtamu sana unaweza ukalia chips ndizi Half american napenda sana ndizi 😂 au ugali chakula chochote kile na mlo wakonukawa mzuri sana
Aoe wapi huyu sasa atakua anaoa ili nini?We jamaa utaoa kweli?🤣🤣 unajua sana kupika.
UgaliUtakula na ugar au chips
Napenda sana kuku ila makange sijawahi kula sipendi kuku wa minyanya ila wa kukaanga😋kitalembwa aliombaa hii
Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi
View attachment 3244235
Kwanza nilimuwekea viungo
Food color
Tangawizi ya kusagwa na chumvi
View attachment 3244236
Nimamuacha kama lisaa hivi ili viungo vikolee nikaendelea na mambo mengine
Baada ya kulizika na mda na kuona kuki viungo vimekolea nikaanza kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya kupata moto nikamuweka kuku wangu kumkaanga
View attachment 3244239
Baada ya kuona kuku amekaangika vizuri
View attachment 3244244
Baada ya hpo nikachukua vitunguu vyangu ambavyo nilivikata vizuri tu nikaweka
View attachment 3244245
Vitunguu viziungue vilegee tu kama hivi usilazimieshe mpaka vibadilike rangi itakuwa mbaya
View attachment 3244247
Nilipo lizika na uivaji wa kitunguu nikaamua kuweka hoho nilikata kwa style ya kusimama
View attachment 3244249
Baada ya hpo nikaweka karoti
View attachment 3244252
Ili ukate karot stlye hii lazima karot yako uilaze hivi na usiisimamishe
View attachment 3244253
Baada ya hapo nikaweka nyanya kidogo tu wengine wana tumia tomato past mm siipend naon ina utamu utamu so nilisaga nyanya kidog tu moja tu niliisaga wengine hawaweki kabisa nyany ni wewe na mapenzi yako mimi nilipenda hivi
View attachment 3244255
Nika koroga ili mchanganyiko uwe mzuri zaidi
View attachment 3244257
Na makange yangu yangubyalikuwa hivyo kuku ni mtamu sana unaweza ukalia chips ndizi Half american napenda sana ndizi 😂 au ugali chakula chochote kile na mlo wakonukawa mzuri sana