Makange ya kuku

Kuna sehemu nilikula hicho chakula ila kuku alikua wa kienyeji, kuku mgumu mbayaa nilikasirika nikasema siji rudia kula ila hapa naona umenitamanisha tena. Nitajaribu kupika mwenyewe nione.
 
Kuna sehemu nilikula hicho chakula ila kuku alikua wa kienyeji, kuku mgumu mbayaa nilikasirika nikasema siji rudia kula ila hapa naona umenitamanisha tena. Nitajaribu kupika mwenyewe nione.
Kama kuku wa kienyeji mchemshe kwanza kama wakisasa utainjoy
 
Hongera sana, mshahara Bado sijapata nitafanya hivyo!
 
Napenda sana kuku ila makange sijawahi kula sipendi kuku wa minyanya ila wa kukaanga😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…