Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nataka ulichopika wewe.Nna balaa langu ila simfikii huyo mmenya ndizi, kama ni yeye anajua.
Siku moja ntakualika uje ule chakula hapa mgahawani napofanya kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka ulichopika wewe.Nna balaa langu ila simfikii huyo mmenya ndizi, kama ni yeye anajua.
Siku moja ntakualika uje ule chakula hapa mgahawani napofanya kazi.
Sasa mimi si ndio mpishiNataka ulichopika wewe.
Kitu km hujui ni bora ukauliza, nini hiki sasa?? 😹😹🤣🤣hii ni dharau hakianan! Makande yaliumbwa kwaajili ya maharage
Kwakuwa nilikua sijui makenge ni makitu gani nikafikiri ni makande... Samahan mwalimu wangu wa nidhamu 😀Kitu km hujui ni bora ukauliza, nini hiki sasa?? 😹😹
Watu mnapenda kujidhalilisha..!!
Makange bana sio makenge 😹😹Kwakuwa nilikua sijui makenge ni makitu gani nikafikiri ni makande... Samahan mwalimu wangu wa nidhamu 😀
Sitakujibu tena 🏃🏃Makange bana sio makenge 😹😹
Mmmmmmmmmmmmmmh!Sasa mimi si ndio mpishi
Amini kwambaMmmmmmmmmmmmmmh!
Hapanaaaa, hadi nishuhudie pishi.Amini kwamba
Ubwabwa 😂Ulikula makange na nini?
Hauniamini dipresheni unamuamini mmenya ndizi?Hapanaaaa, hadi nishuhudie pishi.
Aaah dipresheni wewe hata chai kupika hujui🤣Hauniamini dipresheni unamuamini mmenya ndizi?
Una wivu sana wewe sema wapare ndio maana wafupiHauniamini dipresheni unamuamini mmenya ndizi?
Mfupi mwenyeweUna wivu sana wewe sema wapare ndio maana wafupi
Ngoja siku nikutolee kitu mbona utamuona huyo mmenya ndizi hajui kitu.Aaah dipresheni wewe hata chai kupika hujui🤣
Sasa hapo w una ulefu gan wa kunizidMfupi mwenyewe
Kumbe Dipresheni ni mpare!!Una wivu sana wewe sema wapare ndio maana wafupi
Until then, kwa sasa najua hakuna kitu unajua kupika😀Ngoja siku nikutolee kitu mbona utamuona huyo mmenya ndizi hajui kitu.
Umenikumbusha G Habash na Efuraimu kwenye kile kipindi chao Jehaziweka na safari ya baridi hapo
duniani humimu kunywa na kula mbinguni hakuna msos wala beer