Makanisa haya ya kiroho ni mawakala wa mmomonyoko wa maadili

Makanisa haya ya kiroho ni mawakala wa mmomonyoko wa maadili

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
441
Reaction score
1,065
Kwa sehemu kubwa mahubiri ya viongozi wa haya makanisa hawakemei dhambi, hawasisitizi maadili wala kukemea mmomonyoko wa maadili unaolitafuna Taifa kwasasa

Injili yao ni ya miujiza, utajiri, kupiga wachawi, na zaidi zaidi "mahubiri yamekuwa ya kisela" na kueneza utamaduni wa "kisela"

Tofauti na madhehebu kongwe kama RC, KKKT, ADVENTIST, ISLAMIC, Anglican hata viongozi binafsi wa zamani kama kina Kakobe, Mwingira na Mwakasege, hawa wa siku hizi hautowasikia wanakemea dhambi, kusisitiza heshima wala kuogopa uovu.

Mahubiri yao yanawapa ujasiri watenda maovu (tumekatazwa kuhukumu ila nimekosa neno sahihi la kutumia hapa) kwamba wanaweza kuendelea na uovu wao na bado wakafanikiwa tofauti na tulivyohubiriwa zamani kwamba kamwe huwezi kuwa mtenda maovu na ukakubaliwa kwenye ufalme wa Mungu

Leo Makahaba, mashoga, mafisadi, wachawi, na kila aina ya takataka zote zinakimbilia huko na wamekuwa waumini wa makanisa hayo kwasababu huko hakuna anayewagasi gasi kwa kukemea matendo yao. Kinachoangaliwa ni ada za viingilio kwenye maombi na kuelezea unataka nini sio kiongozi anataka uache nini

Kwa kiasi kikubwa waumini wa haya makanisa hawaogopi dhambi tena. Hawana hofu na Mungu hataki nini tena bali mawazo na akili zao zinawaza mafanikio yao ya kimwili sio ya kiroho tena na hata viongozi wao msisitizo wao ni kutafuta pesa tu bila kujalisha njia utakayotumia kuzipata

Kuna kila sababu Makanisa haya kongwe ikiwemo na dini ya Kiislamu (kwani waumini wanaoenda huko wametoka humu) kukemea mambo haya na kuishinikiza serikali kuingilia kati usajili wa haya makanisa

Nachojiuliza ni kitu kimoja tu, kwani makanisa na misikiti iliyopo haitoshi? Kuna haja gani ya mengine kuongezeka?

Nadhani ili kurudisha hadhi ya Taifa, kuna haja ya kuangalia upya sheria za usajili wa haya makanisa. Mwenzetu Kagame amefanikiwa, huwezi kukuta upuuzi kama huu kwake, sisi tunashindwa nini?
 
Islamic siyo kanisa... labda unge sema makanisa kongwe na Dini ya kiislamu.

ila contents za uzi, upo sahihi KABISA.. kuna usela mwingi sana makanisani
 
Islamic siyo kanisa... labda unge sema makanisa kongwe na Dini ya kiislamu.

ila contents za uzi, upo sahihi KABISA.. kuna usela mwingi sana makanisani
Upo sahihi
Kaandika vizuri sana kwenye angle ya hayo makanisa ila akatia doa hapo alipojumuisha Islamic kwenye mfano wa makanisa.

Hao waumini wa makanisa anayoyazungumzia wengine wameamua kuwa na mawakala kwenye baar na glocery. Ukiingia kichwa kichwa unakuta barmaid anakupeleka church nawe unaamini kuwa kanisa Hilo litakuwa la kweli unaenda. Kumbe huko ndio mambo ya Imani yamewekwa kiaina mnajikuta mnaelea kwenye maneno ya Nabii na sio maandiko ya Biblia.
 
Umeenda vizuri.

Makanisa ya kisasa yametoka kwenye majukumu yake ya msingi ya kuhubiri injili ya wokovu na sio ya mafanikio ya kidunia.
 
Kwa sehemu kubwa mahubiri ya viongozi wa haya makanisa hawakemei dhambi, hawasisitizi maadili wala kukemea mmomonyoko wa maadili unaolitafuna Taifa kwasasa

Injili yao ni ya miujiza, utajiri, kupiga wachawi, na zaidi zaidi "mahubiri yamekuwa ya kisela" na kueneza utamaduni wa "kisela"

Tofauti na madhehebu kongwe kama RC, KKKT, ADVENTIST, ISLAMIC, Anglican hata viongozi binafsi wa zamani kama kina Kakobe, Mwingira na Mwakasege, hawa wa siku hizi hautowasikia wanakemea dhambi, kusisitiza heshima wala kuogopa uovu.

Mahubiri yao yanawapa ujasiri watenda maovu (tumekatazwa kuhukumu ila nimekosa neno sahihi la kutumia hapa) kwamba wanaweza kuendelea na uovu wao na bado wakafanikiwa tofauti na tulivyohubiriwa zamani kwamba kamwe huwezi kuwa mtenda maovu na ukakubaliwa kwenye ufalme wa Mungu

Leo Makahaba, mashoga, mafisadi, wachawi, na kila aina ya takataka zote zinakimbilia huko na wamekuwa waumini wa makanisa hayo kwasababu huko hakuna anayewagasi gasi kwa kukemea matendo yao. Kinachoangaliwa ni ada za viingilio kwenye maombi na kuelezea unataka nini sio kiongozi anataka uache nini

Kwa kiasi kikubwa waumini wa haya makanisa hawaogopi dhambi tena. Hawana hofu na Mungu hataki nini tena bali mawazo na akili zao zinawaza mafanikio yao ya kimwili sio ya kiroho tena na hata viongozi wao msisitizo wao ni kutafuta pesa tu bila kujalisha njia utakayotumia kuzipata

Kuna kila sababu Makanisa haya kongwe ikiwemo na dini ya Kiislamu (kwani waumini wanaoenda huko wametoka humu) kukemea mambo haya na kuishinikiza serikali kuingilia kati usajili wa haya makanisa

Nachojiuliza ni kitu kimoja tu, kwani makanisa na misikiti iliyopo haitoshi? Kuna haja gani ya mengine kuongezeka?

Nadhani ili kurudisha hadhi ya Taifa, kuna haja ya kuangalia upya sheria za usajili wa haya makanisa. Mwenzetu Kagame amefanikiwa, huwezi kukuta upuuzi kama huu kwake, sisi tunashindwa nini?
Huko Rc kumejaa wachawi watupu mpaka Viongozi
 
Kwa sehemu kubwa mahubiri ya viongozi wa haya makanisa hawakemei dhambi, hawasisitizi maadili wala kukemea mmomonyoko wa maadili unaolitafuna Taifa kwasasa

Injili yao ni ya miujiza, utajiri, kupiga wachawi, na zaidi zaidi "mahubiri yamekuwa ya kisela" na kueneza utamaduni wa "kisela"

Tofauti na madhehebu kongwe kama RC, KKKT, ADVENTIST, ISLAMIC, Anglican hata viongozi binafsi wa zamani kama kina Kakobe, Mwingira na Mwakasege, hawa wa siku hizi hautowasikia wanakemea dhambi, kusisitiza heshima wala kuogopa uovu.

Mahubiri yao yanawapa ujasiri watenda maovu (tumekatazwa kuhukumu ila nimekosa neno sahihi la kutumia hapa) kwamba wanaweza kuendelea na uovu wao na bado wakafanikiwa tofauti na tulivyohubiriwa zamani kwamba kamwe huwezi kuwa mtenda maovu na ukakubaliwa kwenye ufalme wa Mungu

Leo Makahaba, mashoga, mafisadi, wachawi, na kila aina ya takataka zote zinakimbilia huko na wamekuwa waumini wa makanisa hayo kwasababu huko hakuna anayewagasi gasi kwa kukemea matendo yao. Kinachoangaliwa ni ada za viingilio kwenye maombi na kuelezea unataka nini sio kiongozi anataka uache nini

Kwa kiasi kikubwa waumini wa haya makanisa hawaogopi dhambi tena. Hawana hofu na Mungu hataki nini tena bali mawazo na akili zao zinawaza mafanikio yao ya kimwili sio ya kiroho tena na hata viongozi wao msisitizo wao ni kutafuta pesa tu bila kujalisha njia utakayotumia kuzipata

Kuna kila sababu Makanisa haya kongwe ikiwemo na dini ya Kiislamu (kwani waumini wanaoenda huko wametoka humu) kukemea mambo haya na kuishinikiza serikali kuingilia kati usajili wa haya makanisa

Nachojiuliza ni kitu kimoja tu, kwani makanisa na misikiti iliyopo haitoshi? Kuna haja gani ya mengine kuongezeka?

Nadhani ili kurudisha hadhi ya Taifa, kuna haja ya kuangalia upya sheria za usajili wa haya makanisa. Mwenzetu Kagame amefanikiwa, huwezi kukuta upuuzi kama huu kwake, sisi tunashindwa nini?
Shuhudia hii👇

View: https://web.facebook.com/reel/4068265613396909
 
Back
Top Bottom