FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
- Thread starter
-
- #141
Mtakuja Kukumbuka Kwamba Mlikuwa Mnawanufaisha Watu au Taasisi za Watu. Ndipo MtakumbkaHao mruki wametumwa kuuchafua ukristo..sadaka tangu lini ikamfanya mtu awe masikini..mana unatoa kadri ya uwezo wako na ulivyobarikiwa..hakuna mtu anayekushikia bunduki ili utoe..mana sio lazima.
Huyo ni mamruki tu..wakupuuza.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe shida yako nini wakitoa hizo sadaka na zaka..walishakuja kwako kuomba chakula.Mbona Hasira Lete Hoja yako. Ni Lazima Kwako na Familia yako Ili mmpigwe zaidi na Zaidi. Si mnadanganywa Zinaenda Kwa Mungu. Endeleeni kutoa Na Muwajemgee na Wachungaji wenu Nyumba na Magari Mnunue Ambayo yatakuwa Urithi kwa Watoto wao na Si Wewe
Wewe unamtolea shetani ama?..mambo ya imani kwako hayana maana..ila kwa wengine yana maana.Mtakuja Kukumbuka Kwamba Mlikuwa Mnawanufaisha Watu au Taasisi za Watu. Ndipo Mtakumbka
Hamtoi sadaka Tu ila Mnatoa Sadaka.. Shukrani...Harambee..Mnajenga...Michango kibao.. acha Kuudanganya Ubongo wako kwamba Eti natoa Sadaka Peke yake
Halafu kwa Vile Mshakuwa Brain Washed mnaambiwa Mnamtolea Mungu.
Aliuweka lini huo utaratibu! Taratibu hizo zimewekwa na Sisi Binadamu ili tupige pesa. Hakuna Sehemu Mungu kkaandika Chochote kile wala kutoa masharti ya Zaka wala SadakaUtaratibu wa kurudisha zaka na sadaka ni Mungu mwenyewe kauweka kwa ustawi wa kazi Jambo la msingi ambalo ninalo ona hapa viongozi wa kidini waache kujitukuza wao wenyewebad
Sasa mbona na wewe mwenzetu hueleweki, hiyo biblia uliyo rejea hapa, ndio hiyo hiyo inazungumzia juu ya sadaka na mengine mengi! kwanini baadhi ya mistari ya bible uiamini na mingine usiiamini?Ukifa Huwezi jua Ukweli.
Unakuwa Mfu na Kwenye Biblia si wameandika Wafu hawaongei wala Wasikii jambo Lolote kwahiyo huwezi Jua Ukweli ukifa. Utajua Ukweli ukiwa Hapa unaona na Kusikia
Nimemrejea Biblia kwa Sababu ndio kitabu anachokiamini ili aweze elewa.Sasa mbona na wewe mwenzetu hueleweki, hiyo biblia uliyo rejea hapa, ndio hiyo hiyo inazungumzia juu ya sadaka na mengine mengi! kwanini baadhi ya mistari ya bible uiamini na mingine usiiamini?
Huwa Unaenda Kanisani Ndugu!? Sadaka/Michango/Zaka/Bahasha/Harambee Siku hizi ni Za Lazima usipotoa Unakutana na Haya[Soma malaki 3:8-12 lakini pamoja na yote, haya ni mambo ya kiimani hakuna mtu atakulazisha kutoa
Ngoja Nikupe Mfano Kwenye Hiyo Hiyo Biblia. Aliyesema MSIMJARIBU NDIO HUYO HUYO ANASEMA MMJARIBUndio maana Mungu anasema tumjaribu
whatever the case kama utaona kumtolea Mungu ni katika kuwasaidia wahitaji it is
ok maana neno lunasema anafurahishwa na wanaotoa kwa hiari .Broblem ambayo inafanya wengi wawe wanavunjwa moyo kutoa ni kuona viongozi wa makinisa wakijiabudu kwa kununua vitu vya anasa na huku wanajigamba kwa pesa ambazo sio malengo yake
QUOTE="FabNXTzqEtcgazfbjjfo, post: 41663093, member: 534375"]
Aliuweka lini huo utaratibu! Taratibu hizo zimewekwa na Sisi Binadamu ili tupige pesa. Hakuna Sehemu Mungu kkaandika Chochote kile wala kutoa masharti ya Zaka wala Sadaka
]
Wewe shida yako nini wakitoa hizo sadaka na zaka..walishakuja kwako kuomba chakula.
Wewe tunakupuuza tu...mana ni mamruki.
#MaendeleoHayanaChama
Dini ZilivyokujaWewe shida yako nini wakitoa hizo sadaka na zaka..walishakuja kwako kuomba chakula.
Wewe tunakupuuza tu...mana ni mamruki.
#MaendeleoHayanaChama
Alafu na wale homeless kwanini wasingekuwa wanalala makanisani nauliza tuu. !!Sasa Hivi Wasomi wanazidi kuwa Wengi wajinga Wanapungua Kwa Kasi na Serikali ndio hiyo Inazidi kujenga Madarasa hata Kama Haijui Itawapeleka wapi hao wasomi inaowajengea madarasa
Waumini wenu wanaokuja Makanisani (wale wenye Akili Timamu) Wanaona Jinsi gani Mnavyoyaendesha Makanisa Bila Wao Kufaidia Directly na hizo pesa Mnazosema Mnampelekea Mungu wakati ukweli ni Kwamba Hazifiki kwa Mungu bali mnazipigia Bajeti zenu za Kujinufaisha Au Kutengeneza Future Za Maisha Na Makanisa Yenu na Kuanzisha Miradi ambayo haimnufaishi Muumini Directly
Hakuna Siri kwamba Makanisa Hapa Nchini yamekuwa yakikusanya Michango.. Sadaka.. Shukrani..Harambee...Bahasha...Michango ya Redio...n.k Milioni na Bilioni kwa Mwaka Zinakusanywa Katika Makanisa. ila Msaada kwa Waumini kama Waumini husika haiendi Directly Kitu ambacho Kinasababisha hata Watu kuona Wanachotwa Mifukoni kwa Kisingizio cha Watabarikiwa au Wanamtolea Mungu
Mfano 1: Leo hii Muumini Apate Ugonjwa au Kuzeeka Asijiweze. Kanisa Linakaa Pembeni waumini ndio wachange Tena Pesa katika Jumuiya zao Na Pengine Asipoudhuria Misa au Jumuiya ingawa Ni Muumini Aliyekuwa Anachangia Anapotezewa kama Vile ni Mpagani tu
Katika Vikundi mbalimbali hapa Nchini Watu wanachanga Pesa Na wanauliza Zitawanufaisha Vipi wao kama Wao either wakiwa Wameugua Au Wakiwa Na Sherehe au Kifo. Kitu Ambacho waumini Ambao wamepumbazwa Wanashindwa Kuulizia Sadaka na Michango yao Kanisani itawasaidia nini Katika maisha Mmoja Mmoja.
Wameambiwa Sadaka Ni Za Mungu wakati Wakishazitoa Wanaona Majengo, viwanja, Mashule na Mahospitali yanajengwa bila Wao kuwapewa hata Asilimia moja Ya Mapato kutoka Katika Vyanzo hivyo.
Na Wakijaribu Kupeleka Watoto au Wao wenyewe wanakutana Na Bei ambayo hata Asiyemuumini Anatozwa hiyo hiyo Pesa haijalishi.
Fungukeni Macho Mnapigwa kwa Kivuli cha Mnamtolea Mungu. Hii Siri Baada ya Wengine Kuijua Wameamua na Wao kufungua makanisa kwa Kasi na Wanaendelea Kupiga Pesa maana Waumini akili timamu Hazipo Zimeshafubazwa kwa Kuambiwa Mungu ndie Anayetolewa
Wakati Huyo Mungu kwanza Haitaji kitu chochote kile Kutoka Kwako maana Hana Mapungufu kama Wewe ulivyo. Yeye kakamilika Haitaji sadaka wala Dhabihu wala Kitu Chochote kutoka Kwako maana Huwezi Mlipa Chochote.
Umekuwa Muumini Wa Muda Mrefu mpaka Unazeeka Hapo. Kanisa Lako halina hata Account ya Kusaidia Waumini wake wanapopatwa na Matatizo. Hivi hamuoni Mmechanganyikiwa na Mnaendeshwa Kunufaisha Watu. Kazi yako ni Kupeleka Fungu la Kumi kanisani ambalo wenye Nalo wanaenda Kuweka Mabati kwenye Miradi ya Kanisa
Jisaidieni Nyie kwa Nyie. Pelekeni Fungu la Kumi mnalotoa huko Kanisani kwa Watu wenye Mahitaji maana Mungu ndio kawaumba Hivyo ,msaidianeni Nyie kwa Nyie si kumpelekea Binadamu mwenzako Pesa Halafu Yeye anakuhadaa eti Unampa Mungu.
Chukueni Pesa zenu Pelekeni wagonjwa..Pelekeeni Watoto Yatima Wanautunzwa Na Watu..wasaidieni wazee walio majumbani Hawana Uwezo wa Kujipatia Vyakula Wakat kanisa lako hilo Likisubiri Afe ili Lije Limpe Upako Tu na Kumzika na likimkuta Haudhulii Misa Linamuacha
Mtu anapata Ajali ya Gari tena Unakuta ni Mahala pa Kijijini anaokolewa na Mwanakijiji hapo anamuwahisha Hospitali anapatiwa matibabu. Halafu kwa Sababu Akili timamu hana anachukua Pesa anaenda Kutoa Shukurani kwa Mchungaji au anapeleka Sadaka Ya Shukurani kanisani. Aliyemuokoa Kule Kijijini na Hospitali waliomtibu hawakumbuki
Hivi wewe unategemea utabarikiwa wewe. Au ndio mabalaa ya Maisha Yatakuandama. Yaani Yule Mwanakijiji aliyekutoa Kwenye Gari na Kukuokoa Hana Maana Na Sometimes alikuwa anajipitia Tu ..kwanini Usiende Kumpa Yule na Hao wa Hospitali waliokusaidia Ukapona Wangekuacha Je Huyo mungu wa Huko Kanisani na Kwa Mchungaji wako angekuja Kukupeleka hospitali. Tujitambue Wana Ndugu tumepotoshwa sana na Tumepotoka Kweli kweli
Tutumie Akili Timamu na Tumwabudu Mungu asiyetaka Vitu bali Aliyeumba Vitu vyote bila Yeye Kukutaka Kitu Chochote kile kutoka Kwako. Huyo ndio Mungu wa Kweli hana Mapungufu ya Kutaka Taka Vitu. Si Kama ukimnyima Anakuchukia na Kukupa Mabalaa hapa Duniani hakuna Mungu wa Hivyo
Asanteni
Utalalaje kwenye Miradi ya WatuAlafu na wale homeless kwanini wasingekuwa wanalala makanisani nauliza tuu. !!
[emoji16]Utalalaje kwenye Miradi ya Watu
Umeongea Point kabisa.Tutumie Akili Timamu na Tumwabudu Mungu asiyetaka Vitu bali Aliyeumba Vitu vyote bila Yeye Kukutaka Kitu Chochote kile kutoka Kwako.
Ungeweza eleza Mada hii kwa kurejea biblia huenda ningekuamini... Mimi ni muumini na najua ninachotoa ni kwa Mungu hata kama mchungaji atakula au atahonga, kazi yangu ni kumtii Mungu nibarikiwe. Ufalme wa Mungu unaongozwa na kanuni.. MALAKI 3:8 Mungu anasema tumtolee ili atubariki period. Hapa hamaanishi anashida na Mali au fedha zetu.. Hapa a nataka utii wetu hata katika mambo aliyotubariki.. Ili tusijivune na kutumia kuharibu Jina lake.. Bali tuwe tayari kumtumikia kwa Mali zetu kuujenga Ufalme. Watu wa Mungu hawawezi barikiwa kwa kutoa zaka kwa yatima tu.. Bali katika kila eneo tulioagizwa na Mungu.Sasa Hivi Wasomi wanazidi kuwa Wengi wajinga Wanapungua Kwa Kasi na Serikali ndio hiyo Inazidi kujenga Madarasa hata Kama Haijui Itawapeleka wapi hao wasomi inaowajengea madarasa
Waumini wenu wanaokuja Makanisani (wale wenye Akili Timamu) Wanaona Jinsi gani Mnavyoyaendesha Makanisa Bila Wao Kufaidia Directly na hizo pesa Mnazosema Mnampelekea Mungu wakati ukweli ni Kwamba Hazifiki kwa Mungu bali mnazipigia Bajeti zenu za Kujinufaisha Au Kutengeneza Future Za Maisha Na Makanisa Yenu na Kuanzisha Miradi ambayo haimnufaishi Muumini Directly
Hakuna Siri kwamba Makanisa Hapa Nchini yamekuwa yakikusanya Michango.. Sadaka.. Shukrani..Harambee...Bahasha...Michango ya Redio...n.k Milioni na Bilioni kwa Mwaka Zinakusanywa Katika Makanisa. ila Msaada kwa Waumini kama Waumini husika haiendi Directly Kitu ambacho Kinasababisha hata Watu kuona Wanachotwa Mifukoni kwa Kisingizio cha Watabarikiwa au Wanamtolea Mungu
Mfano 1: Leo hii Muumini Apate Ugonjwa au Kuzeeka Asijiweze. Kanisa Linakaa Pembeni waumini ndio wachange Tena Pesa katika Jumuiya zao Na Pengine Asipoudhuria Misa au Jumuiya ingawa Ni Muumini Aliyekuwa Anachangia Anapotezewa kama Vile ni Mpagani tu
Katika Vikundi mbalimbali hapa Nchini Watu wanachanga Pesa Na wanauliza Zitawanufaisha Vipi wao kama Wao either wakiwa Wameugua Au Wakiwa Na Sherehe au Kifo. Kitu Ambacho waumini Ambao wamepumbazwa Wanashindwa Kuulizia Sadaka na Michango yao Kanisani itawasaidia nini Katika maisha Mmoja Mmoja.
Wameambiwa Sadaka Ni Za Mungu wakati Wakishazitoa Wanaona Majengo, viwanja, Mashule na Mahospitali yanajengwa bila Wao kuwapewa hata Asilimia moja Ya Mapato kutoka Katika Vyanzo hivyo.
Na Wakijaribu Kupeleka Watoto au Wao wenyewe wanakutana Na Bei ambayo hata Asiyemuumini Anatozwa hiyo hiyo Pesa haijalishi.
Fungukeni Macho Mnapigwa kwa Kivuli cha Mnamtolea Mungu. Hii Siri Baada ya Wengine Kuijua Wameamua na Wao kufungua makanisa kwa Kasi na Wanaendelea Kupiga Pesa maana Waumini akili timamu Hazipo Zimeshafubazwa kwa Kuambiwa Mungu ndie Anayetolewa
Wakati Huyo Mungu kwanza Haitaji kitu chochote kile Kutoka Kwako maana Hana Mapungufu kama Wewe ulivyo. Yeye kakamilika Haitaji sadaka wala Dhabihu wala Kitu Chochote kutoka Kwako maana Huwezi Mlipa Chochote.
Umekuwa Muumini Wa Muda Mrefu mpaka Unazeeka Hapo. Kanisa Lako halina hata Account ya Kusaidia Waumini wake wanapopatwa na Matatizo. Hivi hamuoni Mmechanganyikiwa na Mnaendeshwa Kunufaisha Watu. Kazi yako ni Kupeleka Fungu la Kumi kanisani ambalo wenye Nalo wanaenda Kuweka Mabati kwenye Miradi ya Kanisa
Jisaidieni Nyie kwa Nyie. Pelekeni Fungu la Kumi mnalotoa huko Kanisani kwa Watu wenye Mahitaji maana Mungu ndio kawaumba Hivyo ,msaidianeni Nyie kwa Nyie si kumpelekea Binadamu mwenzako Pesa Halafu Yeye anakuhadaa eti Unampa Mungu.
Chukueni Pesa zenu Pelekeni wagonjwa..Pelekeeni Watoto Yatima Wanautunzwa Na Watu..wasaidieni wazee walio majumbani Hawana Uwezo wa Kujipatia Vyakula Wakat kanisa lako hilo Likisubiri Afe ili Lije Limpe Upako Tu na Kumzika na likimkuta Haudhulii Misa Linamuacha
Mtu anapata Ajali ya Gari tena Unakuta ni Mahala pa Kijijini anaokolewa na Mwanakijiji hapo anamuwahisha Hospitali anapatiwa matibabu. Halafu kwa Sababu Akili timamu hana anachukua Pesa anaenda Kutoa Shukurani kwa Mchungaji au anapeleka Sadaka Ya Shukurani kanisani. Aliyemuokoa Kule Kijijini na Hospitali waliomtibu hawakumbuki
Hivi wewe unategemea utabarikiwa wewe. Au ndio mabalaa ya Maisha Yatakuandama. Yaani Yule Mwanakijiji aliyekutoa Kwenye Gari na Kukuokoa Hana Maana Na Sometimes alikuwa anajipitia Tu ..kwanini Usiende Kumpa Yule na Hao wa Hospitali waliokusaidia Ukapona Wangekuacha Je Huyo mungu wa Huko Kanisani na Kwa Mchungaji wako angekuja Kukupeleka hospitali. Tujitambue Wana Ndugu tumepotoshwa sana na Tumepotoka Kweli kweli
Tutumie Akili Timamu na Tumwabudu Mungu asiyetaka Vitu bali Aliyeumba Vitu vyote bila Yeye Kukutaka Kitu Chochote kile kutoka Kwako. Huyo ndio Mungu wa Kweli hana Mapungufu ya Kutaka Taka Vitu. Si Kama ukimnyima Anakuchukia na Kukupa Mabalaa hapa Duniani hakuna Mungu wa Hivyo
Asanteni
Mistari yako ni sawa, kwahiyo Mungu ni ni hao wachungaji wanaopokea sadaka?Ni Kama kuna ujumbe fulani Unataka kuufikisha lakini kwa andiko hili wengi watapoteza mwelekeo!
Mungu Katika Biblia ameagiza 'Nitoleeni Fungu la Kumi sababu hiyo ni haki yangu, na akaongeza nijaribuni Kwa njia hiyo Muone kama sitawafungulia madirisha ya Mbinguni.
Kuna sehemu ameagiza 'pandeni juu milimani mkalete miti mnijengee Kanisa.
Yote hayo ili Jina Lake Litukuzwe.
Ukitafakari Hayo Utagundua Michango na Sadaka kwa Mungu siyo Hiari ni Lazima.
Nafikiri shida yako mtoa Mada ni Baadhi wa wanaokusanya hiyo michango na Sadaka Hawatumii kwa Malengo Yaliyokusudiwa.
Ushauri : Wewe Hapo Ulipo Ukiona Sadaka zako Zinapigwa. Hama tu.
Haya ni mapokeo ambayo binafsi sijui mwisho wake utakuwaje, nimekuwa nikijiuliza hizo sadaka Mungu huwa ana fanyia nini? kama anauhitaji nazo yeye anashindwaje kuzipata wakati yeye ndiye amekuumba na kukuwezesha kuzipata? yeye ninini kimemshinda mpaka akusubiri mvuja jasho wewe umtafutie ndiyo umpelekee! Na kuna baadhi ya Manabii wanawaaminisha waumini wao kununua bidhaa wanazo wauzia kwa kuwaaminisha kwamba ni za upako na ulinzi kwao, wakati Nabii mwenyewe halindwi na hizo bidhaa? akiumwa anaenda Hospitali na kuhusu ulinzi kutwa anazunguka na ma bouncers!Tukirudi kwenye fikira dini zote tulizo nazo ni dini za mchongo tuu ni vile tuu tumezaliwa na kukuta wakubwa wetu wanaabudu.
Fikiri kabla ya biashara ya utumwa watu walikua hawajui uislam africa.
Fikiri kabla ya kuja wazungu watu walikua hawajui ukristo africa.
Je walioishi kabla hukumu zao zikoje.
Jambo tafakarishi tunaomba kwa pamoja juu ya kinga fulani ila hilo hilo jambo lina kwenda tupata, mfano ufaulu, nafuu ya mgonjwa, ajari.
Kikubwa tuishi kwa kuwajari wenzetu, tutende yaliyo mema.