[Soma malaki 3:8-12 lakini pamoja na yote, haya ni mambo ya kiimani hakuna mtu atakulazisha kutoa
Huwa Unaenda Kanisani Ndugu!? Sadaka/Michango/Zaka/Bahasha/Harambee Siku hizi ni Za Lazima usipotoa Unakutana na Haya
1. Kususiwa Wewe na Familia yako
2. Watoto wako Kutobatizwa
3. Katika Jumuiya zao Watakutenga
4. Utaonekana mtu wa Hovyo
kama Sadaka zako unazipeleka Kwwa Binadamu mwenzako wahitaji wewe utaonekana Mbaya. Hautoi Sadaka Kwa Miungu ya Kanisani
ndio maana Mungu anasema tumjaribu
Ngoja Nikupe Mfano Kwenye Hiyo Hiyo Biblia. Aliyesema MSIMJARIBU NDIO HUYO HUYO ANASEMA MMJARIBU
Kumbuka hata Yesu Alipojaribiwa na Shetani Alisema Maneno hayo Kwamba USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO
Sasa Hamuoni Hapo Kwamba Mnachanganywa Ndugu zangu ma Mnapigwa. Maana Huyo huyo anasema Mmjaribu kwa Sadaka kwanini Aseme tena Mmjaribu wakati keshasema MSIMJARIBU
whatever the case kama utaona kumtolea Mungu ni katika kuwasaidia wahitaji it is
ok maana neno lunasema anafurahishwa na wanaotoa kwa hiari .Broblem ambayo inafanya wengi wawe wanavunjwa moyo kutoa ni kuona viongozi wa makinisa wakijiabudu kwa kununua vitu vya anasa na huku wanajigamba kwa pesa ambazo sio malengo yake
QUOTE="FabNXTzqEtcgazfbjjfo, post: 41663093, member: 534375"]
Aliuweka lini huo utaratibu! Taratibu hizo zimewekwa na Sisi Binadamu ili tupige pesa. Hakuna Sehemu Mungu kkaandika Chochote kile wala kutoa masharti ya Zaka wala Sadaka
]
Kwanza Unatakiwa kuelewa kwamba Mungu hatolewi chochote kile. Unapotoa Kitu Mfano msaada Haumpi Mungu unampa Binadamu mwenzako. Na ndip Kitu Mungu ametuwekea Akilini Tusaidiane sisi kwa Sisi.
Unaposema Nimemtolea Mungu Maana Yake Mungu ni Dhaifu anahitaji Kitu ndio akamilike. Yaani Usipompa Kitu Hakubariki anakupa Ma laana . Hizo ni Tabia za Kibinadamu si Mungu.
Mungu wa Kweli haitaji Sadaka Wala Zaka.