Makanisa Ya Kilokole Yamechangia Watu Wengi Kuwa na Ugonjwa Wa Afya Ya Akili

Makanisa Ya Kilokole Yamechangia Watu Wengi Kuwa na Ugonjwa Wa Afya Ya Akili

Wahanga ni Wanawake wanahisi hao ma Pastor ni Mungu wengine wanapika wanawapelekea msosi.
Wanafanya hivi kwa sababu wanaume zao hawamjui Mungu.

Adamu ndie alipewa neno halisi na Mungu akaambiwa amfundishe Eva. Mwanaume ndie kichwa ila wengi wanatumia kichwa kidogo kuliko kikubwa.

Biblia inasema haya juu ya Ibrahim. Alibarikiwa na Mungu kwa sababu hii:

Mwanzo 18:17 Bwana akanena, Je! Nimfiche Ibrahimu jambo nilifanyalo,
18 akiwa Ibrahimu atakuwa taifa kuu, hodari, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
19 Kwa maana nimemjua ya kwamba atawaamuru wanawe, na nyumba yake baada yake waishike njia ya Bwana, wafanye haki na hukumu, ili kwamba Bwana naye akamtimizie Ibrahimu ahadi zake.

Wababa wangapi hapa JF wanakaa chini kujifunza Neno la Mungu na kumfundisha mke wake na watoto wake??? Kama hufanyi hivyo lazima mke akimbilie huko makanisani maana sketi za mtaa zitakupepeta kama ngano

Wanawake wengi wanaenda huko maana wanaume wao wana vimada wanawatesa kuwatukana na kuwanyanyasa na kutelekeza familia baada ya kuwarubuni na kuwatumia!!!


Hii ni failure ya wanaume. Wanaume wakimjua Mungu watatiisha familia yao katika kumcha Mungu na hii kimbia kimbia ya wanawake makanisani itaisha.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nataka nifungue Kanisa langu nipige mpunga.

Naona future ipo huko. Siku hizi watu wamekata tamaa sana wanahitaji maneno ya faraja tu kidogo alafu wanakupa sadaka.

Hebu mwangalie

Pastor Mgogo,
Yule mzee Majumbasita,
Mashimo,
Geo David Wa Arusha
Kuna mmoja hivi ni comedian,
Masanja Mkandamizaji,
Luvanda, etc

Hawa nao ni Pastors, sisi tutashindwa Wazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kushamiri kwa kanisa za walokole ni ishara ya kudhihilisha ugumu wa maisha,

Watu enzi hizi hawana imani tena na scientific methods ya kutatua chagamoto zao wana saka miujiza, kutajilika na kupona magonjwa sugu.

Kua mulokoleve ni level fulani ya madness japo degree za madness yao zina vary kulingana na hali yake ya kili elimu na utajili wake wakati anajiuga na ulokole.

Hamna mtu mwenye akili timamu bila kua na stress za maisha au social isolation anaweza kujuiga na ulokole, hao watu tusiwatenge hao watu there psychological and mentally upstair, wanahitaji huruma zetu dua na misaada mingine kama binaadamu.
 
Nataka nifungue Kanisa langu nipige mpunga.

Naona future ipo huko. Siku hizi watu wamekata tamaa sana wanahitaji maneno ya faraja tu kidogo alafu wanakupa sadaka.

Hebu mwangalie

Pastor Mgogo,
Yule mzee Majumbasita,
Mashimo,
Geo David Wa Arusha
Kuna mmoja hivi ni comedian,
Masanja Mkandamizaji,
Luvanda, etc

Hawa nao ni Pastors, sisi tutashindwa Wazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
wagonjwa wa afya ya akili, mtu huwezi kuwa na akili timamu ukamfuata Mkandamizaji. Watu akili zao ni vichaa
 
Hakika Mungu hadhihakiwi katu "Never mock your God for it is unforgivable sin". Inakuingia akilini kweli kuna yatima lakini haohao wanahubiri neno la Mungu huko hawataki hata kupasikia na kupafikia kwa vitendo. Unagawa magari na pesa kwa kusifiwa majukwani[emoji2379][emoji2379]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ona kama huu uchafu hapa
IMG-20221012-WA0077.jpg
 
Hivi luvanda nae mchungaji? Nilikutana sherehe fulani anatandika Heineken kama Hana akili
 
Nataka nifungue Kanisa langu nipige mpunga.

Naona future ipo huko. Siku hizi watu wamekata tamaa sana wanahitaji maneno ya faraja tu kidogo alafu wanakupa sadaka.

Hebu mwangalie

Pastor Mgogo,
Yule mzee Majumbasita,
Mashimo,
Geo David Wa Arusha
Kuna mmoja hivi ni comedian,
Masanja Mkandamizaji,
Luvanda, etc

Hawa nao ni Pastors, sisi tutashindwa Wazee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
we ndio unashtuka leo , jamaa yangu yupo uk ,anarudi Kuna eneo lipo sehemu anataka aanzishe mradi wa kanisa
 
Unamkuta mtu ameshinda kwenye jua akisikiliza mambo ya uponyaji!! Mtu UTI kali inakusumbua unasubiri uponyaji!! Huo sio ukichaa kweli?
 
Back
Top Bottom