Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Baadhi ya makanisa kupuuzia Sunday schools kwa watoto na kuwa na utamaduni wa kuwachanganya watoto na watu wazima haimjengi mtoto kimaadili, kidini, kisaikolojia na kiufahamu pia. Maana kuna mahubiri mengine yanaleta matokeo hasi kwenye ubongo wa mtoto.
Mtoto lazma afundishwe katika ranks na apate walimu wazuri wa kidini kila Jumapili ama siku za ibada.
Mtoto lazma afundishwe katika ranks na apate walimu wazuri wa kidini kila Jumapili ama siku za ibada.