Ndoto za mchana mshinde uchaguzi nyinyi?Msihofu, bado mwezi mmoja tu kabla ya jeshi la polisi kufutiliwa mbali na kuliunda upya kwa askari wapya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto za mchana mshinde uchaguzi nyinyi?Msihofu, bado mwezi mmoja tu kabla ya jeshi la polisi kufutiliwa mbali na kuliunda upya kwa askari wapya.
Kimbia kabisa wasije wakakupata Mshana Jr[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
We can't breatheMuda huu watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa jeshi la Polisi kutoka makao makuu, wamezingira ofisi ndogo ya makao makuu ya Chama cha ACT-Wazalendo yaliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam kwa minajili ya kumkamata afisa wa Chama hicho Dotto Rangimoto, anayehusika na usambazaji wa Taarifa za Chama katika mitandao ya kijamii.
Awali maafisa hao walitaka kumchukua Rangimoto bila ya kuonyesha vitambulisho vyao hali iliyozua tafrani ya maneno baina yao na watu waliotaka wajitambulishe.
Mpaka sasa maafisa hao hawajaeleza ni makosa gani wanamuhusisha nayo, huku wakihimiza kutaka kukagua ofisi nzima ya chama hicho kwa madai ya kutafuta simu inayotumiwa na Rangimoto katika mitandao ya kijamii.
Hata hivyo maafisa hao wameshindwa kuonyesha kibali cha ukaguzi na kwa sasa wamewapigia wenzao kwa ajili ya kuongeza nguvu katika eneo hilo.
UPDATES;
=====
Arodia Peter, Afisa Habari.. Dotto Rangimoto Kijana afisa msaidizi kitengo cha habari na Afisa kampeni kimataifa, Dahlia Majid, Wamechukuliwa na Polisi. Dotto anashikiliwa kwa Makosa ya Kimtandao
UPDATES 26/09/2020
View attachment 1581127View attachment 1581128
Jibu rahisi ni kwamba Hao ni wanasiasa wa upinzani na mimi sio mwana siasaNa anayetafutwaa au na wanaomtafuta anayeshukiwa kufanya uharifu?
Jiulize, Kwa nini hujatafutwa wewe?
Penda Amani uishi Kwa hiyo Amani