Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ulitaka kusemajeHii ya Mikocheni mi Nyumba ya Mbowe ambayo kaipangisha chadema, ile ya ufipa wapo Baraza la Wazee, ni ya Edwin Mtei. Ruzuku hutumika kulipia kodi ya nyumba hizi
Anajisikia uchungu sana.Kwa hiyo ulitaka kusemaje
kule ufipa bado panatumika kama ofisi pia,

Inaonekana ana wivu wa kike huyoKwa hiyo ulitaka kusemaje
Hatua kubwa sana.Hongera Chadema kwa kufikia hatua hiyo wengine walijengewa na serikali.
View attachment 3124717
Walisema hatuna jengo....mwaka huu watakuja na nyimbo gani
Ccm weye utakuwa umezaliwa 2002 mfumo wa vyingi tayari ushashika kasi. Ccm ya zamani hawana hoja kama hiziHii ya Mikocheni mi Nyumba ya Mbowe ambayo kaipangisha chadema, ile ya ufipa wapo Baraza la Wazee, ni ya Edwin Mtei. Ruzuku hutumika kulipia kodi ya nyumba hizi
Hawapati ruzuku..?
Acha ujinga Nyumba ya Ufipa st ni ya late Bob MakaniHii ya Mikocheni mi Nyumba ya Mbowe ambayo kaipangisha chadema, ile ya ufipa wapo Baraza la Wazee, ni ya Edwin Mtei. Ruzuku hutumika kulipia kodi ya nyumba hizi
Exactly, na kuna siku majengo yote yaliyojegwa na serikli wakati a chama kimoja yatarudi serikalini! It is a matter of time
Kama ni ya Mbowe, basi amefanya jambo la maana sana. Kongole kwake.Hii ya Mikocheni mi Nyumba ya Mbowe ambayo kaipangisha chadema, ile ya ufipa wapo Baraza la Wazee, ni ya Edwin Mtei. Ruzuku hutumika kulipia kodi ya nyumba hizi

Ni kweli, maana chama chenyewe cha familiaKama ni ya Mbowe, basi amefanya jambo la maana sana. Kongole kwake.![]()
Ni mule mule, maji ga nyanzaAcha ujinga Nyumba ya Ufipa st ni ya late Bob Makani
Mimi chadema haswaCcm weye utakuwa umezaliwa 2002 mfumo wa vyingi tayari ushashika kasi. Ccm ya zamani hawana hoja kama hizi
Nyie mmedhulumu yale majengo ya Lumumba yalikuwa ya wazee wa Kariakoo wakati mkijifuta vijambio kwa majani huko Sitimbi. Warudishieni wazee wa watu majengo yao. Au nimwambie Mzee Mohamed Said alianzishe?Hii ya Mikocheni mi Nyumba ya Mbowe ambayo kaipangisha chadema, ile ya ufipa wapo Baraza la Wazee, ni ya Edwin Mtei. Ruzuku hutumika kulipia kodi ya nyumba hizi
Heko.