Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,406
- 2,521
Kabisa na hizi ofisi tunazoida sijui za CHADEMA zitarudi serikalini maana ruzuku ni pesa za walipa kodi sio kwamba zinatoka kwenye miradi ya CHADEMAExactly, na kuna siku majengo yote yaliyojegwa na serikli wakati a chama kimoja yatarudi serikalini! It is a matter of time