Makao Makuu ya CHADEMA, Mikocheni Dar es salaam

Makao Makuu ya CHADEMA, Mikocheni Dar es salaam

Exactly, na kuna siku majengo yote yaliyojegwa na serikli wakati a chama kimoja yatarudi serikalini! It is a matter of time
Kabisa na hizi ofisi tunazoida sijui za CHADEMA zitarudi serikalini maana ruzuku ni pesa za walipa kodi sio kwamba zinatoka kwenye miradi ya CHADEMA
 
Ni kweli, maana chama chenyewe cha familia
Hata kile chama walichoruhusiwa kula kwa urefu wa kamba hakina tofauti na cha familia, maana wanaokula kwa urefu wa kamba zao ni wale wale 🤣 🤣 🤣
 
Kabisa na hizi ofisi tunazoida sijui za CHADEMA zitarudi serikalini maana ruzuku ni pesa za walipa kodi sio kwamba zinatoka kwenye miradi ya CHADEMA
Ruzuku ipo kisheria
 
Back
Top Bottom