Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Hujawahi sikua neno kizimkazi? Kizimkazi festival ipo mbona sio Dodoma?Acha chuki za kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga na dikteta wako wa Chato.Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
The sun at home(Ikungi, Tanganyika) warms better than the sun elsewhere.Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Hilo ni chawi linalo abudu mizimu na makaburi!Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Hizi pombe za hovyo zimeharibu kabisa ubongo wako,yaani mtu akienda kwao ni kosa kupokelewa na watu wa nyumbani kwao? Una upumbavu mwingi sana.Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Ingefaa ufanye utaratibu wa kurudi darasani kama ulisoma pengine hujaelimika kabisa na uwezo wako wa kutambua mambo uko chini kabisa. Kwasababu mtu huyo alitoka kwako akiwa Makamu anarudi akiwa m.kiti huoni tofauti Bado pamoja na kupokelewa makao makuu?Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
MnyaluNaona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Wewe tu fikra zako potofu....acha aende kwao kwanza.....mikocheni alishaendaNaona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Kuwa makini na Mzee Mgaya , kazeeka ,anakupeleka chakaNaona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Huyo mjinga anakunywa visungura na double kick hizo pombe zinaleta changamoto ya kufuta kumbukumbu huyo akishakolea anasahau njia ya kurudi kwake analala mitaroni.Ingefaa ufanye utaratibu wa kurudi darasani kama ulisoma pengine hujaelimika kabisa na uwezo wako wa kutambua mambo uko chini kabisa. Kwasababu mtu huyo alitoka kwako akiwa Makamu anarudi akiwa m.kiti huoni tofauti Bado pamoja na kupokelewa makao makuu?
Pia angeenda kupokelewa Hai ungesema ameenda kumchokoza Mwenyekiti mstaafu.Hivyo ile maana ya kuwani ngumu mkridhisha kila mtu ni halisi kabisa.Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Hakuna AjabuNaona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂
Ile miezi miwili aliyoenda kujificha chato hotel zake zilipiga hela sana kwani wageni walikuwa hawakauki hata Rais wa Ethiopia yule mwana mama alifikia Chato.Shujaa alipohamishia ikulu kule chattle haikua ukabila?
Mwigulu aliapishwa kule nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, wageni toka nje walifikia chattle au ulikuwa hujazaliwa?
Achana na huyu chapombe asubuhi akiamka wala hakumbuki amepost nini leo.Hivi ndio tumefikia kiwango hiki cha kufikiri, sasa hapo ukabila unahusika vipi ?? Kwahy Wasira alivyoenda Bunda juzi ulikuwa ukabila ??
Jirani yangu mnyaturu amechinja mbuzi na kusheherekea akisema nchi inakwenda kuongozwa na WANYATURU.....Naona matangazo kila Mahali kwamba tarehe 15 February Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atapokelewa kijijini kwao Ikungi na maelfu ya Watanzania
Hii imenishangaza maana Hata Chato enzi za Shujaa Mpenda Kwao hajawahi kupokelewa kihivyo Hata aliposhinda uRais
Hapa hakunaga ukabila KWELI?
Navalonge swela 😂