Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataka za nini? C uwafuata kwenye inbox yaoYaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
Watu wanao andika uandishi wa kitito huo sijui wanafuata nini kwenye platform za watu makini? Hiwezi kuwa mtu makini halafu unaandika c badala ya si, xaxa badala ya sasa.Wataka za nini? C uwafuata kwenye inbox yao
Zipo hapa Buza ndipo ninaporushia post hii.Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeandika baada ya kutafakari, sijui ungeropoka ungetoa jibu gani?
Kama unajua zilipo nenda basi usije huku ukaanza kuhojiKuna sehemu nimesema sijui ziliko?
Njoo nikuelejeze namna ya kupiga picha inboxNataka nikapige picha. Inbox ndio wapi?
Mkuu mbona ofisi zao zipo bayana na vibao vinakuelekeza hadi walipo?Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
Mbona taarifa za zilipo ofisi zipo mtandaoni wazi?Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?