To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Jiandae majibu yake😂😂😂😂We nae, mbona ziko open tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae majibu yake😂😂😂😂We nae, mbona ziko open tu?
Wana "postikodi" fake?Nawasisitiza waendelee hivyohivyo wasijekufanyiwa kama ofisi za wanasheria.Ilisikika tu..."kaboom...kaboom...kabooooom"!🤔🤔🤔🤔Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
Hili jibu naomba lipewe copyright 😆😆😆😆Umeandika baada ya kutafakari, sijui ungeropoka ungetoa jibu gani?
Wahuni noma sanaNjoo nikuelejeze namna ya kupiga picha inbox
Pale kwa Fatuma KarumeWana "postikodi" fake?Nawasisitiza waendelee hivyohivyo wasijekufanyiwa kama ofisi za wanasheria.Ilisikika tu..."kaboom...kaboom...kabooooom"!🤔🤔🤔🤔
Na wewe huwa una kiherehere! Achana na ofisi zao tumia hudama zao kwa vile hazilipiwi. Usitafute mengineyoYaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
Ndio maana wanajificha, vijana mna hasira sanaAisee mimi nataka nionane na Mod mmoja anaitwa Active. Alishawahi nilima ban mara mbili.
Bora waendelee hivyo hivyo kujificha.Ndio maana wanajificha, vijana mna hasira sana
Sisi tunashirikiana na mabata kukanda tope.Unapalanganyika kwa Mpalange? Hongera zako. Vipi kimvua kilichonyesha usiku hakijasababisha tope huko?
mshana kwa kutumia TV 📺 asilia, anaona visivyo onekanaUliza waliobobea katika JF, kama Jr Mshana.
Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni.
Mbona hivyo? Mnajificha nini?
Mbona taarifa za zilipo ofisi zipo mtandaoni wazi?
JamiiForums
0743 440 000
![]()
JamiiForums · Avocado street, Dar es Salaam, Tansania
âââââ · Nichtregierungsorganisationmaps.app.goo.gl
Hadi namba ya simu imewekwa.
View attachment 2455345
Watu mnatoa wapi haya majibu aisee[emoji23]Umeandika baada ya kutafakari, sijui ungeropoka ungetoa jibu gani?