Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Wakuu salamu zangu ziwafikie popote mlipo,
Nipo huku Dom kwa muda ,nilikuja huku week hii na mkeka wangu wa week ule wanaita mega.Niliweka teams 10 zote zi win kwa Tsh 500 na ikatoka Tsh 267750.Sasa katika hizo teams 10 tayari 9 zimeshacheza na kupata matokeo niliyoyatabiri.Imebaki 1 ambayo.itacheza leo kati ya PSG VS METZ ,hii mechi nimempa PSG ashinde.Wakuu nafahamu kuwa kuna kufungwa na kushinda na droo pia ila sio kwa mechi hii.Naomba kwa wanaofahamu ilipp premier betting makao makuu huku Dom ili kesho niende kuchukua mpunga wangu.
Msaada wenu wakuu.
Nipo huku Dom kwa muda ,nilikuja huku week hii na mkeka wangu wa week ule wanaita mega.Niliweka teams 10 zote zi win kwa Tsh 500 na ikatoka Tsh 267750.Sasa katika hizo teams 10 tayari 9 zimeshacheza na kupata matokeo niliyoyatabiri.Imebaki 1 ambayo.itacheza leo kati ya PSG VS METZ ,hii mechi nimempa PSG ashinde.Wakuu nafahamu kuwa kuna kufungwa na kushinda na droo pia ila sio kwa mechi hii.Naomba kwa wanaofahamu ilipp premier betting makao makuu huku Dom ili kesho niende kuchukua mpunga wangu.
Msaada wenu wakuu.