Makao Makuu ya Tanganyika: Mapendekezo

Makao Makuu ya Tanganyika: Mapendekezo

Warioba kaleta matatizo badala ya kutatua matatizo katiba ingetakiwa ituletee njia ya maendeleo badala ya kuongeza ukubwa wa serikali na haya mambo mengine ambayo ni gharama na hayana maana kwa taifa.

Hivi ni maoni ya Warioba ama yetu sisi watanzania?Tuliyatoa sisi wenyewe au ulitaka ayakatae?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
naona hapa kila moja anatetea mkoa wake ambao unaonekana kabisa imepoteza muelekeo.
 
Makao makuu lazima yawe Kigoma, kwani ndio kuna Ziwa Tanganyika
 
Tanga ni jiji mzuri sana,unapendeza,na ni jiji wenye kila kitu,bahari,reli,halihewa safi,milima,utambarare,vyakula vya kila aina vinalimwa,mifugo,barabara safi,maji ya utosha,hakuna shida ya maji,umeme wa kutosha,usalama,mpangilio wa barabara zake,umejengeka kimataifa,una kila utakacho.
 
Watanganyika mmeanza kugombeana vitu vya kipuuzi,kuweni na akili rudisheni utanganyika yenu ndio muhimu kuliko vyote,mkataa kwao mtumwa,msipo angalia mtazidi kuwa watumwa kwenye nchi yenu yenye madhahabu kibao!
 
tushaanza kugombana...yaleyale aliyosema mchonga meno..wazanzibara na wazanzibari,...waunguja na wapemba...
 
Tanga hakuna upuuzi wa ushoga,acha ujinga.
nitaamini kama tanga hakuna ushoga ukinihakikishia haya mawili. 1. tanga hakuna waarabu...kwani kwao ushoga ni suna....2. tanga haipo karibu na mombasa. otherwise tanga kila aina ya dhambi tanzania inaingilia tanga.kama huamini nenda uhudhurie ngoma za asili hasa KOKO, sijui kama bado ipo au laa kwani kitambo mi niliishi uko.
 
Unajua mpaka leo huwa nawaza walitumia vigezo gani kuipa Tanga hadhi ya jiji ?
 
Kama rasimu ya katiba itapitishwa kuna umuhimu mkubwa wa mkoa wa Tanga ufanywe kuwa makao makuu ya Tanganyika kwa sababu zifuatazo:
1- Tanga ina historia nzito na nyeti!
2- Tanga ina bandari kongwe na iko mahali strategia zaidi!
3- Tanga ni mji wa kwanza Tanganyika kupata hadhi ya manispaa!
4- Tanga ni mji uliostaarabika kwanza kabla ya miji mingine kwa kuwa na mahakama za mwanzo wakati wa Mjerumani!
ukichanganya na ujenzi wa kinidhamu wa mitaa ya Tanga, na sifa zingine nyingi zinaipa hadhi jiji hilo kuwa makao makuu ya Tanganyika ijayo! Dar es Salaam iendelee kuwa makao makuu ya Tanzania badala ya Dodoma!

Wewe unaishi ulimwengu wa wapi. Inaonyesha bdo uko analogy tushahama tuko digital. Makao makuu yashaanza kujengwa MOSHI MKOANI KILIMANJARO NA WIZARA ZAKE NYINGINE KUJENGWA ARUSHA PAMOJA NA BUNGE LA TANGANYIKA. NENDA MOSHI KAJIONEE. Ila Tanga bandari tutaipanua kwani ile Bagamoyo haijengwi tena.
 
Tanga !

Kunani paleeee,Tanga !

Safi sana Tanga.

Kama kwa wagogo tu vigogo wanasinzia muda wote, Huko unataka ofisi zibaki tupu muda wote?. Huitakii maendeleo nchi yetu. Bora yawe hata mara ili tusaidiane kula sumu za migodi huenda viongozi na tume iliyoundwa kuchunguza sumu mto nyamongo itatoa majibu sahihi.
 
Binafsi....nimechoka kwa hoja mlizozitoa..........hivi tupo makini kweli????
 
Napendekeza Kilindoni Mafia...
Pale mji wetu utakuwa na usalama zaidi
 
tushaanza kugombana...yaleyale aliyosema mchonga meno..wazanzibara na wazanzibari,...waunguja na wapemba...
mshaanza kugombamaba nyinyiii.. zanzibar wamegombana kivi.. unaonaona faida ya kumtegemea mtu.....leo zenj wapo nakila kitu chao nyinyi mnasubiri kufukuzwa nyumba halafu muanze kuhangaika sio.. faida hiyo ya kukaa na kutegemea wengine
 
Kama rasimu ya katiba itapitishwa kuna umuhimu mkubwa wa mkoa wa Tanga ufanywe kuwa makao makuu ya Tanganyika kwa sababu zifuatazo:
1- Tanga ina historia nzito na nyeti!
2- Tanga ina bandari kongwe na iko mahali strategia zaidi!
3- Tanga ni mji wa kwanza Tanganyika kupata hadhi ya manispaa!
4- Tanga ni mji uliostaarabika kwanza kabla ya miji mingine kwa kuwa na mahakama za mwanzo wakati wa Mjerumani!
ukichanganya na ujenzi wa kinidhamu wa mitaa ya Tanga, na sifa zingine nyingi zinaipa hadhi jiji hilo kuwa makao makuu ya Tanganyika ijayo! Dar es Salaam iendelee kuwa makao makuu ya Tanzania badala ya Dodoma!

Hawakubali hata kidogo!
 
Arusha ni mahali muafaka kabisa.

[1] Hali ya hewa ni nzuri

[2] Viongozi watakuwa na uwezo wa kuvaa suti katika kipindi kirefu cha mwaka bila kutumia AC na kuongeza gharama kwa walipa kodi.

[3] Arusha ni makao makuu ya EAC.Kwakuwa wizara ya EAC si suala la muungano tena baada ya kuzaliwa nchi ya Tanganyika hii itasaidia kupunguza gharama za usafiri maafisa wa serekali.


Kwa nini usiseme makao makuu yawe Moshi.
 
Safari hii hamna pa kutokea watanganyaka,ujanja mwingi mbele usiku!
 
Back
Top Bottom