Makao makuu ya Tz ni Dar es salaam kiuhalisia... Ila Dodoma ni makao makuu Kwa nadharia tu

Makao makuu ya Tz ni Dar es salaam kiuhalisia... Ila Dodoma ni makao makuu Kwa nadharia tu

Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Gentleman,
ni muhimu zaidi kufahamu kwamba,
Dar es salaam ni mji mkuu, na Dodoma ni makao makuu ya nchi 🐒
 
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Maamuzi ya hovyo ya yule mshamba wa kisukuma, matrilioni ya pesa yameteketezwa kujenga majengo na miundo mbinu mingi ilhali viongozi hawataki kukaa huko Dodoma.
 
..badala kujenga maofisi na majumba ya viongozi Dodoma ni afadhali tungejenga viwanda, au tungeimarisha bandari, au kumalizia Sgr, au kukarabati njia za kusafirisha umeme.
Dodoma ujenge viwanda mkuu kiwanda Cha Nini kikae pale katikati..😁😁
 
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 3
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Dodoma nimakao makuu ya sisiemu wanakula per diem tu za Dar ninatumizi mabaya sana ya pesa za Umma
 
Tanzania siyo nchi ya kwanza kuhamisha au kuwa na mji mkuu au makao makuu ya serikali nje ya mji au jiji lenye pilika nyingi zaidi. Nigeria wamehama kutoka Lagos kwenda Abuja na lagos ndo mji mkubwa zaidi ukilinganisha na huo Abuja, kuna nchi ya Cote d'Ivoire Abidjan ndo mji mkubwa zaidi lkn makao makuu ya serikali yapo Yamoussoukro, South Africa Johannesburg ndo mji mkubwa na wenye pilika nyingi lkn serikali ipo Pretoria. Morocco Rabat ndo serikali ilipo kwa maana makao makuu lakini Casablanca ndo jiji kubwa zaidi na lenye pilika nyingi za kibiashara. Burundi hapo makao makuu ya serikali yapo mkoa wa Gitega ilihali Bujumbura ndo kwenye mishe na ofisi nyingi zaidi. Ukiangalia kuna nchi nyingi tu duniani zina miji mikuu ya kibiashara (hapa kwetu Dar) lkn zina miji kwa ajili ya shughuli za kiserikali(capital city)
Tupunguze ujuaji wakati mwingine
 
Tanzania siyo nchi ya kwanza kuhamisha au kuwa na mji mkuu au makao makuu ya serikali nje ya mji au jiji lenye pilika nyingi zaidi. Nigeria wamehama kutoka Lagos kwenda Abuja na lagos ndo mji mkubwa zaidi ukilinganisha na huo Abuja, kuna nchi ya Cote d'Ivoire Abidjan ndo mji mkubwa zaidi lkn makao makuu ya serikali yapo Yamoussoukro, South Africa Johannesburg ndo mji mkubwa na wenye pilika nyingi lkn serikali ipo Pretoria. Morocco Rabat ndo serikali ilipo kwa maana makao makuu lakini Casablanca ndo jiji kubwa zaidi na lenye pilika nyingi za kibiashara. Burundi hapo makao makuu ya serikali yapo mkoa wa Gitega ilihali Bujumbura ndo kwenye mishe na ofisi nyingi zaidi. Ukiangalia kuna nchi nyingi tu duniani zina miji mikuu ya kibiashara (hapa kwetu Dar) lkn zina miji kwa ajili ya shughuli za kiserikali(capital city)
Tupunguze ujuaji wakati mwingine
Hiyo ni zamani, pili uchumi wa Nigeria haukaribiana na wa kwetu.
 
Back
Top Bottom