Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gentleman,Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Kuna jamaa aliwaambia wajinga cherehani moja ni kiwanda.Jamaa jinga sana na alisema akumbukwe...badala kujenga maofisi na majumba ya viongozi Dodoma ni afadhali tungejenga viwanda, au tungeimarisha bandari, au kumalizia Sgr, au kukarabati njia za kusafirisha umeme.
Kama unahela kanunue viwanja DODOMA. BAADAE USIJE KUJUTIA UAMUZI WAKO WA KULALAMA HOVYO...badala kujenga maofisi na majumba ya viongozi Dodoma ni afadhali tungejenga viwanda, au tungeimarisha bandari, au kumalizia Sgr, au kukarabati njia za kusafirisha umeme.
Maamuzi ya hovyo ya yule mshamba wa kisukuma, matrilioni ya pesa yameteketezwa kujenga majengo na miundo mbinu mingi ilhali viongozi hawataki kukaa huko Dodoma.Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
We ndio confused kabisaGentleman,
ni muhimu zaidi kufahamu kwamba,
Dar es salaam ni mji mkuu, na Dodoma ni makao makuu ya nchi 🐒
Hayo ni maamuzi ya yule mshamba wenu mama wa watu anahusika niniHakuna kitu cha huyu mama kinaenda sawa, hovyo hovyo tuu!
Mi3 inamtosha, apumzishwe!
Dodoma ujenge viwanda mkuu kiwanda Cha Nini kikae pale katikati..😁😁..badala kujenga maofisi na majumba ya viongozi Dodoma ni afadhali tungejenga viwanda, au tungeimarisha bandari, au kumalizia Sgr, au kukarabati njia za kusafirisha umeme.
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Hata china wanaviwanda vidogovidogo na vinakuwa na kupiga hatua Sasa wewe endelea kulaumu watu kuwa maisha magumuKuna jamaa aliwaambia wajinga cherehani moja ni kiwanda.Jamaa jinga sana na alisema akumbukwe.
relax na kutuliza mihemko hivyo hivyo gentleman wengine ni kusonga mbele tu 🐒W
We ndio confused kabisa
Dodoma nimakao makuu ya sisiemu wanakula per diem tu za Dar ninatumizi mabaya sana ya pesa za UmmaHii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Hiyo ni zamani, pili uchumi wa Nigeria haukaribiana na wa kwetu.Tanzania siyo nchi ya kwanza kuhamisha au kuwa na mji mkuu au makao makuu ya serikali nje ya mji au jiji lenye pilika nyingi zaidi. Nigeria wamehama kutoka Lagos kwenda Abuja na lagos ndo mji mkubwa zaidi ukilinganisha na huo Abuja, kuna nchi ya Cote d'Ivoire Abidjan ndo mji mkubwa zaidi lkn makao makuu ya serikali yapo Yamoussoukro, South Africa Johannesburg ndo mji mkubwa na wenye pilika nyingi lkn serikali ipo Pretoria. Morocco Rabat ndo serikali ilipo kwa maana makao makuu lakini Casablanca ndo jiji kubwa zaidi na lenye pilika nyingi za kibiashara. Burundi hapo makao makuu ya serikali yapo mkoa wa Gitega ilihali Bujumbura ndo kwenye mishe na ofisi nyingi zaidi. Ukiangalia kuna nchi nyingi tu duniani zina miji mikuu ya kibiashara (hapa kwetu Dar) lkn zina miji kwa ajili ya shughuli za kiserikali(capital city)
Tupunguze ujuaji wakati mwingine