Makao makuu ya Tz ni Dar es salaam kiuhalisia... Ila Dodoma ni makao makuu Kwa nadharia tu

Makao makuu ya Tz ni Dar es salaam kiuhalisia... Ila Dodoma ni makao makuu Kwa nadharia tu

Nigeria imehama 1991 Tanzania 1996 (official doc)
Tanzania ilitangaza kuhamia Dodoma 1973, ila ilishindikana kwasababu za kiuchumi. Akaja mshamba moja mpenda sifa 2015 alitaka kuonesha yeye anaweza vilivyowashinda marais wenzake. Tumeperish km nchi kwa maamuzi ya kishamba, ya kutafuta sifa za kijinga.
 
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Mama yenu na Mkwere ndio wameharibu ndio maana badala ya kuiendeleza Dodoma pesa zimechepushwa kwenda Dar Es Salaam kubadilish miundo mbinu ya barabara, biashara na kila kitu shughuli zimehamishiwa Dar au Kizimkazi!!
 
Nafikiri ndiyo sababu mradi huu uliwekwa kando na marais wengi waliotangulia kabla ya Magufuli aliyekuja kuufufua.
 
Tanzania siyo nchi ya kwanza kuhamisha au kuwa na mji mkuu au makao makuu ya serikali nje ya mji au jiji lenye pilika nyingi zaidi. Nigeria wamehama kutoka Lagos kwenda Abuja na lagos ndo mji mkubwa zaidi ukilinganisha na huo Abuja, kuna nchi ya Cote d'Ivoire Abidjan ndo mji mkubwa zaidi lkn makao makuu ya serikali yapo Yamoussoukro, South Africa Johannesburg ndo mji mkubwa na wenye pilika nyingi lkn serikali ipo Pretoria. Morocco Rabat ndo serikali ilipo kwa maana makao makuu lakini Casablanca ndo jiji kubwa zaidi na lenye pilika nyingi za kibiashara. Burundi hapo makao makuu ya serikali yapo mkoa wa Gitega ilihali Bujumbura ndo kwenye mishe na ofisi nyingi zaidi. Ukiangalia kuna nchi nyingi tu duniani zina miji mikuu ya kibiashara (hapa kwetu Dar) lkn zina miji kwa ajili ya shughuli za kiserikali(capital city)
Tupunguze ujuaji wakati mwingine
Umejichanganya broo
Anamaanisha kwa nini rais samia na viongozi wengine wa kiserikali kwa nini wanashinda dar sio dodoma wanakotakiwa kuwa full time,
 
Hii inathibitishwa na viongozi wetu kabisaa hawataki hata kdg kukaa Dodoma maana Dodoma wamepafanya sehemu ya kuchukulia POINT 3 tu.
Kuna vitu kama nchi tulikurupuka sana... Na yote yalisababishwa na JPM. Dodoma ni ishara ya umaskini wetu.
Maamuzi ya Kuhamia Dodoma yametapanya rasilimali na kukwamisha uwekezaji wa serikali kwenye sekta ya ELIMU na ajira ambayo ingewavusha watu wetu!
Ni aibu kwamba majengo mengi pale Mtumba yanajengwa na wachina!
 
Dodoma ujenge viwanda mkuu kiwanda Cha Nini kikae pale katikati..😁😁

..Dodoma kuna mifugo, na zabibu unaweza kujenga kiwanda cha nyama, bidhaa za ngozi, mvinyo, n.k

..Niliposema viwanda sikumaanisha Dodoma peke yake.
 
Back
Top Bottom