Safari njema huko muendako.EB tusio makapuku tupitee
Haturudi kanaaniSafari njema huko muendako.
Karibumakapuku mh
basi basi inatosha, makapukuuuuuu viva foreverati niniii??? tubadili jina??? wee weeee hili hili kapuku ndo tumelikubali,kiroho safi
One lovePamoja sana Mkuu
Makapuku likes hazizidi sitaKwangu network inasumbua, likes zinakuja nusu nusu.
hapana mheshimiwa makamo wa RAISAcha tu[emoji134] [emoji134] [emoji134] Nahisi ulimtuma tu hii sio bure
Hahahahaaaa..... Ama kweli june sio mbali.Hahahahaaa... Hapana mkuu.. Ujue mw wa sita sio mbali... Sipendi hasara
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jibu lako lina utata....
Hahahahahahaa..... (kwa sauti)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ongea na JimenaMie KAPUKU nahitaji mrembo na awe au akubali kuwa MAKAPUKU TEAM.
Aliye tayari aje PM ili tuuendeleze Ukapuku wetu.
Nishatangulia huko njoo na weweKama utanifollow let me know ili nikufollow back
MAKAPUKU wanazidi kukwea...Hureeeeeeeeeeeeee!
Hata kwangu naona zinazidi kupungua, sijui kwanini.jaman..
embu ongezeni juhudi za kunitunuku LIKE za kutosha hapaa, angalau nifikie kwenye three digits(yani 1000+)
Kichaa kapewa runguMAKAPUKU wanazidi kukwea...
Salama kabisa Mkuu, mzima lakini??Habar zenu makapukuuuu
Mwanzoni nilidhani mods wananihujumu, kuangalia vizuri kumbe ni mtandao unasumbua.[emoji15] hi hatareeee