Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mpaka siku ikiisha tutakuwa tumefikia 3kHa haa haa 3k loading...
Naona kama umempiga stop kabisa kwa utambulisho huoHapana, vipi tena ndugu?
Karibu sana Shem wa mie.Yeah nafurahi kuwa hapa
Mkuu mbona umenikimbiaHa haa haa 3k loading...
Mbona tayari umeshafit kuwa MAKAPUKU TEAM, karibu sana Mkuu.hata mimi nafit kuwa kapuku??
Asante mkuu mshana jr kwa kuliona hilo.Chit chat imepata uhai mpya na kurudi kwenye ramani kwasababu ya hii post
Karibu sana Shem wa mie.
Na bado, huu ni mwanzo tu.2k replies
Taratibu jamani server zimepata moto
[emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maelekezo yapo post # 3Am i kapuku
Wakongweee.....[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Nani kanuna???[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Chit chat imepata uhai mpya na kurudi kwenye ramani kwasababu ya hii post
Shemej swalama?Yeah nafurahi kuwa hapa
Tumekuja kutake over.Na bado, huu ni mwanzo tu.
Mkuu, zingatia sheria na kanuni.Asante sana kiongozi
Wakongwe wote wameingia mapangoni km ya Amboni wanaona giza tu.....Makapuku katika ubora wetu
Hapana mwache tu usimfanye chochote bali mwombee maisha marefu aje kushuhudia ukiinuliwa naye akishushwaMshana jr boss wangu ananikera nataka nimfanyie unyang'auπ‘π‘
Ntakucheki inbox unipe skillsππ