Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Pole mkuuha ha ha ha mshenzi wewe umesababisha nicheke kwa sauti kubwa kwenye daladala....
Ha haaa... Ndoa za mkeka hazina kadi....Hizi ndoa zimefungwa lini,naona mashemeji wamezidi.
mashemeji wa mjini hawa utawaweza...kina shemeji kula wanajiitaHizi ndoa zimefungwa lini,naona mashemeji wamezidi.
Nimekubali.
Usichanganyikiwe Mkuu, mbona ni kawaida.Hapo ndo nahisi kuchanganyikiwa
Siyo vizuri inabidi tualikaneHa haaa... Ndoa za mkeka hazina kadi....
Sema Siku hizi za makapuku lazima tualikanee
OyeeeeeeTEAM MAKAPUKU OYEEEEE
Swalama ? Braza
mkuu siku ukionja kitu cha live hutarudi tena hukoPole mkuu
Mkuu, asante kwa kunisaidia japo tuliyamaliza.Msiwaze, naimani hakuwa na maana mbaya sie wote ni wamoja[emoji111]
Mkuu mimi napiga live na recordedmkuu siku ukionja kitu cha live hutarudi tena huko
Hahahahahaaaaa......Mi ilibidi nimpe MTU anishikie simuuu.... Maaana dah nlishindwa kufanya kazi....
Hatuachi 'gepu' asee.
God forbid...tufyakwe....mpango mzima kitu live!!Mkuu mimi napiga live na recorded
Nakushauri ujaribu[emoji3] [emoji3]
Dah,hii imekuwa hatari sasa,magufuli akipita hapo lazima utumbuliwe.Mi ilibidi nimpe MTU anishikie simuuu.... Maaana dah nlishindwa kufanya kazi....
Heshima kwako pia kapuku mwenzangukuwa kapuku hapa jf ni raha,
heshima makapuku wenzangu..
Ama kweli MAKAPUKU ni chama kubwa.................................
Birthday za MAKAPUKU zitakuwa zinasherehekewa humu....umoja ni nguvu
Ikifika siku yako unaanza tu HBD to me
.........................................
Mambo yabakwenda...naona kapuk wameteka jf....Swalama bukheri wa afya hofu kwako mkuu