Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Yani hata namba hawasomi wanaona vumbi tu.Kwa mwendo huu patakua hapatoshi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hata namba hawasomi wanaona vumbi tu.Kwa mwendo huu patakua hapatoshi aisee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ujuaji mwingi sanaUkituma tu post ya kuomba ushauri wa mapenzi utasikua una miaka mingapi au soma kwanza au achana na mapenzi dogo
Hawa wakongwe sijui wamelaaniwa ushauri hawatoi kazi kuleta dharau tu
Mwambie huyo. Akae pembeni tu.Maneno ya kumtoa nyoka pangoni.
Karibu tupambane.Nilikuwa busy na majukumu kidogo, ila nishatulia kiasi now
Ujumbe kaupataMwambie huyo. Akae pembeni tu.
Sasa ni mimi na wewe tu mpenzi
Kasome post # 3Dah yaani hata kwenye makapuku list simo..!? Mwe mwe mwe!
Haupo kivipi aisee hujasajiliwa muone th name ndio anahusikaDah yaani hata kwenye makapuku list simo..!? Mwe mwe mwe!
Daaaa na kweliiii mkuuKwa mwendo huu patakua hapatoshi aisee
Mpenzi wa prime minister sitii neno kabisa nisije nikakosa kibarua atiUjumbe kaupata
Bado kidogo sana3k tutafikishaaa....au ndio mpaka kesho?!
Nafiri hadi kesho.3k tutafikishaaa....au ndio mpaka kesho?!
Nitautafutaaa kwa ajil yakooo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asante sana shaban ila uende kwenye uzi husika tafadhali[emoji85] [emoji85]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mpenzi wa prime minister sitii neno kabisa nisije nikakosa kibarua ati