oya nataka likes sita hapa
Mkumbushe labda atakuwa amesahau.teh teh teh kwa makapuku likes mwisho tano
Ngoja niikague huenda nami nikaopoa mrembo.Jinsi ya kuopoa msichana mzuri
Jifunzeni............
Safi kabisa amaizingHabar ya asubuh wanafamilia
Mkuu jaribu wewe,mimi nimeshindwa.Ngoja niikague huenda nami nikaopoa mrembo.
Whatsapp mbona haifikii hata robo ya huu mziki wa MAKAPUKU. Hatulinganishwi na group lolote.Duuuh watu mnachat tuache masihara, hili ni zaidi ya grupu la whatspp
Usisahau kupita na kwangu.Kwa kuwa sipangiwi kutoa like kwa mtu, ntampa yeyote yule ambaye nitapenda.
Na moyo wangu umependa kutoa likes kwa makapuku tuu...
Habar ya asubuh wanafamilia
Uwepo wako sijauona Mkuu.Una point sana.... Sasa kama kuna mahali sijakupa like sema nirudi nyuma mpaka page ya 1 nitembeze likes mwanzo mwisho
TupogooooMakapuku mpooooo ?
Tupo mkuuMakapuku mpooooo ?
a.k.a R.I.PPumzika kwa amani
Pamoja mkuuTupo mkuu
Mkuu nimeamka sasaUwepo wako sijauona Mkuu.
Naona umekuja kuokota linesPamoja mkuu
Safi sana (wait at least 23 second to post again)Tupogoooo
Mkuu nusu saa tu ijayo replies zitasoma 3k, tumeshaamka sasaNina masikitiko makubwa kukueleza kuwa makapuku wameshindwa kufikisha post 3000😳😳😳
Hii ni huzuni kuu tuliyonayo kwa sasa
Swalama mkuu EMMYGUYHabarini za asubuhi MAKAPUKU wote!