[emoji4] [emoji4] [emoji4] uzuri hatulazimishi mtu, kila mtu yupo huru kujiunga kama anazo sifa kwa mapenzi yakeMaelekezo yapo post # 3
Kila mtu yupo huru
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sawa kabisa[emoji4] [emoji4] [emoji4] uzuri hatulazimishi mtu, kila mtu yupo huru kujiunga kama anazo sifa kwa mapenzi yake
Mmerudi tena kulala???Asante kwa niaba ya team nzima.
Leo hata kazini siendiMkuu nusu saa tu ijayo views itasoma 3k, tumeshaamka sasa
Heshima yake wifi, sio kwa kukufungia huko hata jamvini huonekani[emoji2] [emoji2]mimi jana nilitekwa jamani ndio nimeachiwa muda huu.... Vipi mmeamkaje hapa ?
Heee youngblood kimetokea nn... Umeamka salama lknLeo hata kazini siendi
Ndio umeona sasa na uzi wenyewe unakuhusuSijawahi kuona uzi wenye addiction kama huu[emoji16] [emoji16]
Tupoooooo..... Umeamka swalama aaMakapuku mpooooo ?
sure!Mkuu nusu saa tu ijayo views itasoma 3k, tumeshaamka sasa
Unakomaa hapa hapa??Leo hata kazini siendi
Umesomeka vyema Mkuu..................................
BBIRTHDAY ZOTE ZA MAKAPUKU NI HUMU HUMU HATUANZISHI THREAD NG'O
IKifika siku yako toa tangazo watu tujimwage
......................................
Salama kabisa sijui wewe?Habarini za asubuhi MAKAPUKU wote!
HahaaaSafi sana (wait at least 23 second to post again)
Hahahahaaa...... tuzoeee tu maana hakuna namna.I really wish kama kungekuwa na kitufe cha like all
Anataka kuwa nasi leoHeee youngblood kimetokea nn... Umeamka salama lkn
Heshima lazima irudi 2016 hiiLeo hata kazini siendi
Sijui nikudhamini uingie studio????Naangaika eeh Makapuku[emoji444]
Naangaika kwaajili yako[emoji444]
Wote twende pamoja
Fanya hivyo. Nishushe songi matataSijui nikudhamini uingie studio????