Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Nikiondoka nitawanisi.Heee youngblood kimetokea nn... Umeamka salama lkn
Ila sasa lazima unitaje..... Kwenye wimbo[emoji85] pale ukianza kunoga unataja wapi Jimena wasalimie Makapuku woteFanya hivyo. Nishushe songi matata
mdhamini kwani hutajutia uamuzi wako ..Sijui nikudhamini uingie studio????
Sisi je tutakavyo kumiss??? Usiondoke.....kaa nasiNikiondoka nitawanisi.
Mule mule kama ulikuwepo vileIla sasa lazima unitaje..... Kwenye wimbo[emoji85] pale ukianza kunoga unataja wapi Jimena wasalimie Makapuku wote
Inaudhi sanaaa,Safi sana (wait at least 23 second to post again)
Tuombe mungu zitafika post 3kZinafika hizo
Njema mpendwa kapuku natumai umeaka salamaHabari zenu wapendwa
Hapa Issue sio kuomba mkuu, ni kuwajibika kuhakikisha reply inasoma 3kTuombe mungu zitafika post 3k
Salama kabisaNjema mpendwa kapuku natumai umeaka salama
Hapya mkuu ngoja tuwajibike ili kulifikia hilo lengoHapa Issue sio kuomba mkuu, ni kuwajibika kuhakikisha reply inasoma 3k
Huu ndo uzuri wa makapuku, huyu kapuku anatoa fursa kwa mwenye hayo maloriUmedamka swalama makapuku!!
TANGAZO
Nimeonelea nitoe taarifa humu humu kapukuni's thread. Ninahitaji lorries 14 zenye uwezo wa kubeba mzigo kuanzia tani 30 na kuendelea,ziwe na kichanja/kisahani ziwe idadi ya kuanzia tano kwa usajili mmoja au zote kwa usajili mmoja. Mwenyenayo tuwasiliane kupitia e-mail hapo chini au anipm tufanye kazi.
Kwa mawasiliano zaidi:-
makondeson@gmail.com
au niPM
45 posts left[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Labda hiyo post ya 3k itakuwa ya kwanguNa mimi ngoja niweke historia ya kushuhudia posts 3k.
Maana hakuna namna sasa[emoji2]Hapya mkuu ngoja tuwajibike ili kulifikia hilo lengo
Maamuzi magumu sanaAnataka kuwa nasi leo