Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umedamka swalama makapuku!!

TANGAZO
Nimeonelea nitoe taarifa humu humu kapukuni's thread. Ninahitaji lorries 14 zenye uwezo wa kubeba mzigo kuanzia tani 30 na kuendelea,ziwe na kichanja/kisahani ziwe idadi ya kuanzia tano kwa usajili mmoja au zote kwa usajili mmoja. Mwenyenayo tuwasiliane kupitia e-mail hapo chini au anipm tufanye kazi.

Kwa mawasiliano zaidi:-

makondeson@gmail.com
au niPM
 
Umedamka swalama makapuku!!

TANGAZO
Nimeonelea nitoe taarifa humu humu kapukuni's thread. Ninahitaji lorries 14 zenye uwezo wa kubeba mzigo kuanzia tani 30 na kuendelea,ziwe na kichanja/kisahani ziwe idadi ya kuanzia tano kwa usajili mmoja au zote kwa usajili mmoja. Mwenyenayo tuwasiliane kupitia e-mail hapo chini au anipm tufanye kazi.

Kwa mawasiliano zaidi:-

makondeson@gmail.com
au niPM
Huu ndo uzuri wa makapuku, huyu kapuku anatoa fursa kwa mwenye hayo malori
 
Back
Top Bottom