Ulitekwa na nani?mimi jana nilitekwa jamani ndio nimeachiwa muda huu.... Vipi mmeamkaje hapa ?
Ha haaa na iwe hivyoooWazo: Mnaonaje Kama Huu uzi ungesomeka "Makapuku Special thread" ..
Bitoz
Jimena
Th Name
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
Young blood
Zamaulid
sumbai
KWEZISHO
cute b
Nahrene
HOPECOMFORT
damtanzania
lizziebettie
KABUGHA
Nafsi huru
shaban lee
UncleBen
peterchoka
hassandady
Sambusa kavu
Shemtibuko
eden kimario
SongeaOne
nyumbatatu
dekitambi
Kawalala93
HULILO
Thoomas
tawa driller
Na wale
Mnazi Mmoja.........
Karibu sana Ngedere UngabuDuh cheki wala vumbi walivyojichokea.....
Piga kazi boss.....
Posta hiyoooo
Joto City
............................
Jina halitabadilisha ...tulikataliwa ombi LA kuanzishwa jukwaa la makapuku.....ndo tumeamua kujiita wenyeweWazo: Mnaonaje Kama Huu uzi ungesomeka "Makapuku Special thread" ..
Bitoz
Jimena
Th Name
EMMYGUY
ibra87
sizzya007
youngblood
Zamaulid
sumbai
KWEZISHO
cute b
Nahrene
HOPECOMFORT
damtanzania
lizziebettie
KABUGHA
Nafsi huru
shaban lee
UncleBen
peterchoka
hassandady
Sambusa kavu
Shemtibuko
eden kimario
SongeaOne
nyumbatatu
dekitambi
Kawalala93
HULILO
Thoomas
tawa driller
Bitoz nimekuona
Mnazi Mmoja.........
Tuliendeleze gurudumu kamanda.Nimefika mpendwa,nimekuja mbio za farasii.
Mkuu asalam aleykum....Tuliendeleze gurudumu kamanda.
Salama, uko pouwaa lakini??Habar ya asubuh wanafamilia
Ila ya busara kabisaMaamuzi magumu sana
Good morning shemeji....Bitoz nimekuona
Yes brother! Piga kazi, nimefurahi sana malengo yanaenda vizuri, kazi njema see you baada ya kaziMy humble congraturations kwa kila mwana JF aliyefanikisha hii mambo,
Nilikuwa tense sikuweza kufanya chochote kwa muda kidogo, now moyo wangu umesuuzika, let me get back to work nisije kutumbuliwa na waturuki😀😀
Morning shem! [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Good morning shemeji....
Mwenyewe nimemuona na kabeba tenga....
Ngoja nikachungulie, ila point ni kwamba Makapuku tunafanya vizuriNa mimi niko nyuma ya nani vile?
Komaa tu hapa hapa mpaka utaonekana tayari Young blood ameonekana we utashindwaje??? Go go goooo broMimi hata sionekani, naumia mie
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]