Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hamchokiii haya generator hilo mchaji simati zenu libeneke liendelee mpaka post 5000+
1460449231222.jpg
 
mhhhhhhhhhh...
nilimalizana na Kakakuona yakanishinda....
Sasa malaika wa shetani yupo hewani....
mwambie Jimena ofa yake ipo bado, anipe adress nimpe kitabu chake cha salamu toka kuzimu.
Mwezi wa 5 ntakuwa huko hivyo ntakutafutia, asante sana kumbe bado unakumbuka? To be honest nilisusa kabisa kusoma manake hadithi haziishi
Ila sasa ntarudi unenipa nguvu mpya
 
Back
Top Bottom