Dilikitu gani!!!????
Asanteeee mkuu......kwa ulinziSi unaona ni shwari kabisaa? Kila kitu kiko sawa radar zote ziko vizuri
kitabu cha salamu toka kuzimu.kitu gani!!!????
Rudi page ya 1 kwenye #3 kuna maelezo yoteBila shaka mimi ni kapuku!!!!
Chuoni kwako wapi tuje kukujulia hali shemeji....Chuoni kwangu
Asante mpenzi wa mimiMiss u more love
acha ubazazi, wewe mkeo umemficha mpaka leo hajaonekana tenaChuoni kwako wapi tuje kukujulia hali shemeji....
Tuko pamoja bila shaka na zitafika maana speed ya uzi huu ni kama rocketUliadimika sanaaaaa, kutana na 3k replies, ni jukumu lako kuhakikisha tunafikia 4k replies
Asante sana kiongoziacha ubazazi, wewe mkeo umemficha mpaka leo hajaonekana tena
Braza braza brazaChuoni kwako wapi tuje kukujulia hali shemeji....
Lazima tujipongeze maana kwa hatua tuliyofikia ni kubwa sana.Inahitaji tujipongeze makapuku.
Mkuuuu.....Leo hakikisha inafika 4kMmmmmmmmhhhhhhhhhhh loh!
Haswaaaaaaaaaaa.......Bila shaka mimi ni kapuku!!!!
Asiposaka mapene unadhani huo Ubitoz ataufanya vipi?Kumbe Bitoz nae anasaka mapene!
Ubazazi Si nmeshastaafu. Brazaacha ubazazi, wewe mkeo umemficha mpaka leo hajaonekana tena
Na tumeamua kwa kasi kubwa isiyofikilika popote.Kumbe makapuku wakiamua wanaweza
Mkuuuu.....Leo hakikisha inafika 4k
Braza ni kheriiii tuu.....ha ahaaaa shaka ondoaBraza braza braza