Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Safi sana mkuu,hayo ndiyo mambo yangu.Pia ipo hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mkuu,hayo ndiyo mambo yangu.Pia ipo hiyo
Tutafundishana tuAsituletee udhungu
Ni kweli mkuu hili ni agizo la mungu ati ila yuleee alichokuja kuandika hapa then akapotea ni sheedaMpende adui yako...kama nafsi yako
Wengine akili zimeshaganda.Tutafundishana tu
Kwa uwepo wangu pia uwepoKwa uwepo wako basi ntakaribia
Vibaya mno nakumbuka o-levelUmemrithi mwalimu wa Kiswahili
Umenifanya nimkumbuke mwalimu wanguVibaya mno nakumbuka o-level
Yule mtu ni kiaziNi kweli mkuu hili ni agizo la mungu ati ila yuleee alichokuja kuandika hapa then akapotea ni sheeda
Haya mambo yako pwani tu.Safi sana mkuu,hayo ndiyo mambo yangu.
Huyu labda jimena aje aongee nae ndio ataelewaWatu hawaishi hivyo [emoji87] [emoji87]
Usijali
Wanaisoma namba tu watajijuWazee wa old skul chaliiiiiiii
..................................................
Hahahaha nakumbuka ticha wangu anaandika ubao. Sasa kwenye daftari mnaweza jaza page hata 4Umenifanya nimkumbuke mwalimu wangu
Kwa uwepo wangu pia uwepo
Karibu sana Ngedere Ungabu
Marufuku kuongea kiingereza
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.................................................
[emoji3] [emoji3] tunafaidi sana,ukipiga supu ya pweza alafu ukaingia mzigoni ni balaa.Haya mambo yako pwani tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mwalimu wetu alikuwa anafurahisha kweli. Anafundisha na utani juu, kwahiyo mpaka kipindi kinaisha huwezi kusinziaHahahaha nakumbuka ticha wangu anaandika ubao. Sasa kwenye daftari mnaweza jaza page hata 4
Tumia maji ya moto.Wengine akili zimeshaganda.
Wewe gonga tu.Jamani natafuta mashine ya kugonga likes tu maana zimenipita post nyingi sana.