Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Sawa mkuu,ila najua post ya 4000atatupia Th NameUsinicheke sasa [emoji2] [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu,ila najua post ya 4000atatupia Th NameUsinicheke sasa [emoji2] [emoji2]
[emoji640] [emoji646] [emoji646] [emoji646] [emoji776]Naiona kwa mbaaaaaali 4k
Nimeiona kwa karibu 5k....Naiona kwa mbaaaaaali 4k
Sijapata mkuu,wananiogopaUlienda Pm?? Bado hujapata au unavizia wake za watuuu tuuu
Jamaa ana gunduUlienda Pm?? Bado hujapata au unavizia wake za watuuu tuuu
Si unajua mi mwalimu wa kiingerza na kiswahili atNaomba post ya 4000 niwe mimi
Mkalimani
Wewe speed yako ndogo.Kwanini unampendelea [emoji20] [emoji20]
Kiingerza= basi sawa mwalimuSi unajua mi mwalimu wa kiingerza na kiswahili at
Ungeendelea kua mbishi ungejikuta umekua kuku sasa hivi chezea mshana jr[emoji3] [emoji3] [emoji3] mshana jr anaweza kukugeuza jinsia.
Ha haaa.... Tuliza akili...Sijapata mkuu,wananiogopa
Aisee hili gundu ni balaa,.Jamaa ana gundu
Tumia cheo....mtafutieee kijana angalau asiwe mpwekeJamaa ana gundu
Jamaa habari zake zinatishaUngeendelea kua mbishi ungejikuta umekua kuku sasa hivi chezea mshana jr
Ha haa we mwalimu nitakutafuta unitafsirie zile post ngumu za wakongweeSi unajua mi mwalimu wa kiingerza na kiswahili at
Au mkuu niachie huyu mtotoHa haaa.... Tuliza akili...
Nimem miss @amaing ....
Njoo Basi nikuone
Tatizo nyotaAisee hili gundu ni balaa,.
Th Name kuja hapa. Kwani hiyo nafasi unaitaka? [emoji54]Wewe speed yako ndogo.