We mzee nakusalimiaHahahahaha
Ahsante,shangazi Shunie mambo vipi?We mzee nakusalimia
Salama kabisa,Tunashukuru MunguPoa za wewe
Nashukuru mkuu karibu sana kwakweli ukinikumbuka makapuku ndio pa kunipata nimefurahi sana kuona uwepo wako SeliWanasema ukimkumbuka Shunie Pita Makapuku utamkuta amejaa tele...
Nilipita kukusabahi Mkuu
Nashukuru kwa mapokezi mazuri tupo pamoja