Shikamoo mremboooAbeee ndugu yangu..
ChangamotoKwani babe ulikuwa wapi?
CheupeeeIla jf mnavyolazimisha kutumia browser mpaka tunatumia ukifungua app haikubali jamani
Shikamoo MkuuShikamoo mrembooo
Za uzima kitoto cha yesuShikamoo Mkuu
Ha ahahahhahah, vijana hawajui kabisa hizi mambo, juzi nimesikia wimbo unasema nataka kulewa napanda juu ya meza, lol! Anapanda afu inakuwaje!?Ndugu zangu habarini za asubuhi.
Obe ndugu yangu, nimedamka nasikia TUMBWISA ya awilo longomba.. nikakumbuka enzi zetu kigamboni pale ukishalewa unavua shati unapanda juu ya meza unacheza na kupiga kelele kama awilo.😂🤣🤣
......nidai korosho au mbaazi ambazo nitampatia makaveli10 akuletee, huyu namwamini ni mwaminifu sana achana na Lee zawadi za aunt yangu zilikuwa zinapigwa hafu kwa cheusi mangara hafu kwa auntWewe Makiwendo atakuwish😂
....kuogelea ndiyo tatizo kuyanywa nayanywaMaji umeyashinda au yamekushindaaa
Alafu aunt hawezi kuumia ujue......nidai korosho au mbaazi ambazo nitampatia makaveli10 akuletee, huyu namwamini ni mwaminifu sana achana na Lee zawadi za aunt yangu zilikuwa zinapigwa hafu kwa cheusi mangara hafu kwa aunt
Kwa hiyo bibie ndo umemuacha njia panda au akuvumilie?....kuogelea ndiyo tatizo kuyanywa nayanywa
...ushamfanya sugu haumiiAlafu aunt hawezi kuumia ujue
Hahahahaha,tuwe wapole na kukubali matokeo mkuuDuh! Sisi wengine potelea mbali au sio. Hongereni sana
....kaniacha yeye njia panda , nasubiri gari za mwenge nidandieKwa hiyo bibie ndo umemuacha njia panda au akuvumilie?
Ndo mapenzii...ni kuvumilianaa...ushamfanya sugu haumii