Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
"Kwakuwa tunakwenda kufanya jambo kubwa la kushiriki African Football League tukaona tuje na kitu kikubwa ambacho kitakuwa fahari kwa mashabiki wa Simba.
Leo ni siku ya uzinduzi wa jezi ambayo itatumika tarehe 20 Oktoba, 2023. Jezi zetu ni bora sana."- Mkurugenzi wa Sandaland Fashion Wear, Yusufu Omari.
Leo ni siku ya uzinduzi wa jezi ambayo itatumika tarehe 20 Oktoba, 2023. Jezi zetu ni bora sana."- Mkurugenzi wa Sandaland Fashion Wear, Yusufu Omari.