[emoji1787]Familia which[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mimi kosa langu nini jamani😭😭😭[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshenzi wewe
Auntie ubahili hata haukufai eti😂Yaishe basi abaki huyo huyo mbibi bwanah [emoji23]
[emoji1787] NiacheeeeAuntie ubahili hata haukufai eti[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Je wajua inakujia na shunie shunie View attachment 2812669
Unanikosea adabu ujue.. Ina maana mimi ni mpuliza moshi, yani mtu kama mimi niwe navuta yale madude natoa moshi kama treni ya mwaka 47!!? 😂🤣makaveli10 kumbe ndio maana unaniona kivuruge😂😂😂
Nimekuja beib, niambie mupenziBabe njoo nikwambie kitu.
Ingekuwa wanatoa kemikali zinazosababisha mtu kulewa.
...🤣🤣🤣🤣 kummiss kwangu hakua bahili ila miwivuu sasa na kuchungana., sitaki ht kumsikia, Wiii kaka wenu nilimpa password ya Id yangu akanibadilishia 🤣🤣🤣🤣 kisa alikuta nimetoa no ya nitumiwe Chech za Moet jamn... Kanitesa mbwa yule[emoji1787][emoji1787] Lazima ummiss my wiii ila nimefurahi mnoooo kukuona kipenzi
😔Tumekutana JLW ananiambia nimependa haiba yako, mimi kuishi na haiba aliyonipendea kosa hapo? ndg wameeanza kuwa upande wake sasa🤣🤣🤣🤣Itakuwa ulikuwa mkorofi wewe, sie ukoo wetu wapole sana.
😂😂😂😂😂😔Tumekutana JLW ananiambia nimependa haiba yako, mimi kuishi na haiba aliyonipendea kosa hapo? ndg wameeanza kuwa upande wake sasa🤣🤣🤣🤣