HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Mi naichukia hii slogan...Ari mpya kasi mpya nguvu mpya
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]au tupigane na youngblood alafu atakayeshinda ndo anakuwa mmiliki?
sawa..!!!Wewe ni Oldblood mkuu,tena ile ambayo ni infected.
Demu wangu mkoani ushamba msingiWifi yetu kutoka sitimbi naona nafanya yake tayari[emoji2] [emoji2]
Ya mkwere hayoMi naichukia hii slogan...
Mkuu hali yakoooumeninyima like [emoji18]
Pole,uko wapi nikufuate.Yani kupumzika nusu saa tu nimekuta mmefika mbali sana
Km umemkiua house girl kafanya hivyo utamdunda au[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Nipo nae hapa tunasikiliza woteUmemdediketia mtu mwingine wimbo wa malavidavi
Mlete kwa wifi yake nimfundishe umjiniDemu wangu mkoani ushamba msingi
........................
Mkuu huyu mtoto ananipenda mimi ,hata akija kwako atakuchuna tu.ahaa! basi kama hutaki tusipigane KUJA kwangu faster
Kama nimetoa lock wallah nampelekea moto tuuKm umemkiua house girl kafanya hivyo utamdunda au
.................................
Akhu utapandisha gharama za maisha bora abaki na ushamba wakeMlete kwa wifi yake nimfundishe umjini
nakubali atanichuna ndio..Mkuu huyu mtoto ananipenda mimi ,hata akija kwako atakuchuna tu.
Acha hizo kakaAkhu utapandisha gharama za maisha bora abaki na ushamba wake
.......................
Ngoja nifikirie [emoji58]ahaa! basi kama hutaki tusipigane KUJA kwangu faster
Jamani Jimena, usifanye hivyo [emoji27]Umemdediketia mtu mwingine wimbo wa malavidavi
yani huwezi kuamini Nahrene nikinywa maji nakuona kwenye glassNgoja nifikirie [emoji58]