[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi nacheka niniiiii au ni wivu wangu tumakaveli10 huu utulivu wa leo baba kwema?
Auntie ukute sipati hela sababu ya hili jina🤣🤣Ndio niwaulize nyie [emoji1787] libaki hili hili kwanza watu wakiona jina la makapuku wanaogopa kuingia ndio vizuri kwanza
Ya mwaka 2026, nikagombee ujumbe wa nyumba 10 kwanza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tukutane December auntie
Kama kiuu nina mashaka nako kale. Nitajikuta narithi aifoni ya kikuu🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sanaaaa unajua we ni mwehu
🤣🤣🤣🤣 ni wivu tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi nacheka niniiiii au ni wivu wangu tu
Haha boss wangu huyo si unajua mahousegirl kazi zetu za kubanwabanwaNani anakuficha?
Hebu njoo nami natafuta house girl.Haha boss wangu huyo si unajua mahousegirl kazi zetu za kubanwabanwa
...sijui kwanini nakuwaga wa mwisho kujua mambo mazuri kama haya ya besidei. Najua sijachelewa kumtakia Makiwendo heko ya kuzaliwa leo. HBD mdau na uifurahie siku hii nzuri.Happy Birthday to you Auntie akee Makiwendo unapoongeza mwaka leo basi zikaongezeke heri zaidi, furaha na mafanikio katika maisha yako, Happy Birthday to you mama twins, me ninachojua nakupenda mnooooo [emoji3590][emoji3590] subiria muamala wa beer mbili tatu [emoji847]
[emoji1787][emoji1787] Kama hupati hela auntie ni gundu lako jina halina maana yoyoteAuntie ukute sipati hela sababu ya hili jina[emoji1787][emoji1787]
Dec ya 2023 [emoji1787][emoji1787]Ya mwaka 2026, nikagombee ujumbe wa nyumba 10 kwanza.
[emoji1787][emoji1787] Niachie babe wanguKama kiuu nina mashaka nako kale. Nitajikuta narithi aifoni ya kikuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni wivu tu.
Asante sana binamu yangu
View: https://www.youtube.com/watch?v=a1CMWnxfFys
...hili baridi linahitaji sana jirani mwenye kujua kutunza siri
🤣🤣
View: https://www.youtube.com/watch?v=FeWu1xMzLGEMakiwendo kwenye hii clip wewe unachohitajia kujua ni kwamba wamesema hepibesidei tuyu. Na ndicho nakuambia.
Lee na makaveli10 msisingizie mvua, ndugu yenu nawa-dipu hamnipigii.
🤣🤣🤣🤣 auntie si uniache hata nijifariji kidogo jamani khaaaah![emoji1787][emoji1787] Kama hupati hela auntie ni gundu lako jina halina maana yoyote
Sikuachiiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 auntie si uniache hata nijifariji kidogo jamani khaaaah!
Hii tushakubaliana haipo🤣Dec ya 2023 [emoji1787][emoji1787]