[emoji1268] MOSES PHIRI [emoji3591] POWER DYNAMOS
.
Aliyekuwa Mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri yeye anakwenda kwa Mkopo katika klabu ya Power Dynamos ya Zambia ambayo atakuwa huko hadi mwisho wa msimu.
.
Kabla yakupatwa na majeraha yaliomuweka nje ya uwanja kwa kipindi kirefu Phiri alikuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi. Uongozi wa Simba unaamini Phiri atakaporejea kikosini atakuwa imara zaidi na kurudi katika makali yake.
JEAN BALEKE [emoji3591] TP MAZEMBE
.
Rasmi, aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Jean Baleke amerejea katika timu yake ya TP Mazembe ya Dr Congo [emoji1078]