Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na vile yuko kwa mstaafu masikini. Pole sana.
...hii inanipa maswali sana ujue, maana kuna namba nilipewa na ndugu yangu kabisa kwamba ndiyo namba yenyewe, nikaipiga haipokelewi kuja kugundua kumbe nilipewa namba ya boti limepaki pale Magogoni karibu na chuo cha CCM Kivukoni. Lee dunia ndogo sana hii ndugu yangu
 
Kwa heri Ole Mushi. Umeacha nchi gizani, unaenda kaburini penye giza. Yawezekana hakuna ulichopoteza, japo sisi tumepoteza. R.I.P Ole Mushi.!
 

Attachments

  • FB_IMG_1707444315529.jpg
    FB_IMG_1707444315529.jpg
    58.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom