Na vile yuko kwa mstaafu masikini. Pole sana.Asubuhi njema wadau wema.
Tabasamu maana bado masaa machache tu iwe furahiday
Lete hela nikusaidie ulinzi shirikishi.....umeuliza swali langu, ujue nilikosa kabisa hamu ya kula wiki hizi 🖐 baada ya kuona papa mukulu anafanya manjonjo ya Clatous Chama.
Akikujibu niite au hata anayehusishwa akijibu niambie tu
...hiki ndicho nachopaswa kufanya kwa muda huu, mambo ya ulinzi shirikishi naunga mkono hoja. Hesabu wiki hii haijaisha nakutumia kurunzi lenye betri mpyaLete hela nikusaidie ulinzi shirikishi.
...hii inanipa maswali sana ujue, maana kuna namba nilipewa na ndugu yangu kabisa kwamba ndiyo namba yenyewe, nikaipiga haipokelewi kuja kugundua kumbe nilipewa namba ya boti limepaki pale Magogoni karibu na chuo cha CCM Kivukoni. Lee dunia ndogo sana hii ndugu yanguNa vile yuko kwa mstaafu masikini. Pole sana.
Hahahaha Mkuu we endelea tu mie sipo popote pale kuwa na aman....umeuliza swali langu, ujue nilikosa kabisa hamu ya kula wiki hizi 🖐 baada ya kuona papa mukulu anafanya manjonjo ya Clatous Chama.
Akikujibu niite au hata anayehusishwa akijibu niambie tu
HahahahahaNa vile yuko kwa mstaafu masikini. Pole sana.
Auntie ifike hatua we na hela mmalize tofauti zenu 🤣🤣🤣🤣Mpaka unilipe hela yangu🤣🤣🤣
Alooooh 🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo ameshakuwa sasa...
Valentine tunayo na tunatamba nayo[emoji1]
Mbona mbabu 🤣🤣🤣🤣Mwambie mbabu una madeni🤣
🤣🤣🤣🤣 Nacheka mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mababu tena....na walivyo na Vikohozi visivyoisha...
Wewe kuweza[emoji1]
🤣🤣🤣🤣 Binamu we ndio mbabu wanayemzungumzia....nisipokonda mwezi huu basi mimi sio mimi. Mvi kichwani hazijawahi kunipa vikohozi labda mafua.
🤣🤣🤣🤣Nikajua wewe ndio mstaafu🤣
HahahahahaMe anidanganye wapii 🤣🤣🤣🤣 vikimshinda atarudi hapahapa kwa mshangazi wake
Aiseeee!!!
Hahahahaha...swahiba usijari kawaida tuAiseeee!!!
Nafikiri ule ulikuwa utani Swahiba...