Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣....kwa hiyo kule nnakoitwa mstaafu, niko mwenyewe?
Kule kamwe huwezi kuwa mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣....kwa hiyo kule nnakoitwa mstaafu, niko mwenyewe?
Utabanwa tu.Hahahahahaha...mie hapana aisee
Matatizo gani?Hahahahahaha...unamtafutia matatizo
Hahahaha...hakuna wa kunibanaUtabanwa tu.
Utapata stress za bureMatatizo gani?
Ankoo poleeee ....kuachika sio mchezo....kwa hiyo kule nnakoitwa mstaafu, niko mwenyewe?
Mkuu next time shunie awe karibu yangu sio unaanza nae
Kaka mchukue atoto basi unachie shunie maana Nina malengo ya dhati juu yake.Mkuu next time shunie awe karibu yangu sio unaanza nae
Ni muhimu pia kujua chai aliyokunywa na vitafunwa vyake, kuna aina ya chai na vitafunwa vinaharibu ubongo.. 😂Umekunywa chai?
Kijana ushawahi rogwa, kijana kijana, tusitafutane ubaya. Nisije anza kutumia mikoba ya marehebu bibi mzaa babu... Ohooo, mie tego langu hakuna mganga anaweza tegua hata hichi kiwichi dokta chenu bwana Mshana Jr 😂Mzee wa.............. 😂Kaka mchukue atoto basi unachie shunie maana Nina malengo ya dhati juu yake.
Kama kukupenda ni dhambi basi shetani yu nami.Wacha bwana🤣🤣🤣
Never say never!!Hahahaha...hakuna wa kunibana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Upoje lakiniYa kupotelewa na babe.
Auntie niacheee [emoji1787][emoji1787] nipambanie huba langu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila dhambi auntie, mwenzio kaandika gazeti wewe ukapigilia msumari kwenye kidonda!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekunywa chai?
Ndio vizuri we mzee ukishikwa shikamanaPole sana...ila ndio vzr
Mwambie babe akuelewe [emoji1787][emoji1787]Mkuu next time shunie awe karibu yangu sio unaanza nae
Weeh shindwaaa!! Hatujakutana barabarani sisiKaka mchukue atoto basi unachie shunie maana Nina malengo ya dhati juu yake.
Sawa sawaNdio vizuri we mzee ukishikwa shikamana
Atoto nimpeleke wapiKaka mchukue atoto basi unachie shunie maana Nina malengo ya dhati juu yake.