Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahahahaDaaaah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaDaaaah!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf kwa ma pdf kwahiyo walikusingizia we mzee unamkula mtuHii kweli kabisa..sina cha usimba wala u yanga mwenda pole ..kama sikuhusika sehemu ila watu wakapitishiana pdf hadi wasap...aisee sitohitaji kujuana na mtu humu JF..ibaki story tu juu kwa juu
Wajinga wajinga fulani hivi.. nimesamehe ila sisahau ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf kwa ma pdf kwahiyo walikusingizia we mzee unamkula mtu
....duh, ukisikia kunukishwa nguru ndiyo huku sasa, kuna tofauti kubwa kati ya kustaafu na kustaafishwa kwa naufaa ya umma.Habari za asubuhi mstaafu🤣
...acha woga. Duniani ni kuishi na kuishi ni kutokuwa msejaHii kweli kabisa..sina cha usimba wala u yanga mwenda pole ..kama sikuhusika sehemu ila watu wakapitishiana pdf hadi wasap...aisee sitohitaji kujuana na mtu humu JF..ibaki story tu juu kwa juu
Na kila mwanamke bila kujali hali yake, apate nguvu ya kufanikisha ndoto zake na kukamilisha matamanio yake (aspirations). JF ni kubwa na ni sehemu nzuri kuwepo sababu kuna wanawake ambao kila wakati wanaifanya forum hii kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Katika siku hii ya kimataifa ya wanaweka basi na kila mwanamke afanikiwe kuvunja vikwazo, kuvunja kudogoshwa katika harakati zake za kufanikiwa. Mafanikio hutofautiana (relativitty) lakini anapofanikiwa mwanamke basi jamii nzima inafanikiwa. Heri ya siku ya Wanawake Duniani
View: https://www.youtube.com/watch?v=mILsx_c-vXw
Ndo nisharudii mkuu shangaziVina muda baasi!! Wiki tu unapotea [emoji23][emoji23][emoji23]
Pole yake[emoji1787][emoji1787] Ipi jamaniiii nampenda babe wangu auntie ebu acha wivu wako basi
Ata sipoteiAkirudi nitampokea mpenzi wangu
NakaziaPole yake
Na kila mwanamke bila kujali hali yake, apate nguvu ya kufanikisha ndoto zake na kukamilisha matamanio yake (aspirations). JF ni kubwa na ni sehemu nzuri kuwepo sababu kuna wanawake ambao kila wakati wanaifanya forum hii kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Katika siku hii ya kimataifa ya wanaweka basi na kila mwanamke afanikiwe kuvunja vikwazo, kuvunja kudogoshwa katika harakati zake za kufanikiwa. Mafanikio hutofautiana (relativitty) lakini anapofanikiwa mwanamke basi jamii nzima inafanikiwa. Heri ya siku ya Wanawake Duniani
View: https://www.youtube.com/watch?v=mILsx_c-vXw
...ha ha ahahaha, napata picha ya mkuu shangazi furahiday hii. Anko, kaa ukijua huyu ni shemeji yanguNdo nisharudii mkuu shangazi
Mkuu shangazi 🤣🤣Ndo nisharudii mkuu shangazi