Mkuu kwema.
Ukiwa unapost zile picha zako uwe unanitag maana nimelitafuta lile jukwaa silioni Tena au ulizifuta?
Ukiwa unapost zile picha zako uwe unanitag maana nimelitafuta lile jukwaa silioni Tena au ulizifuta?
Ngoja nikakuone kama umezidi kuwa mweupe.
Niko poa kabisa...nimefurahi kuona salamu yako..jmosi ya leo itakua nzuri sana kwanguNiko hapa Swahiba...
Uko aje?
Karibu Swahiba....Niko poa kabisa...nimefurahi kuona salamu yako..jmosi ya leo itakua nzuri sana kwangu
Kwa kweli,Swahiba leo mvua imeamua nataka kutoka naona ngumuKaribu Swahiba....
Mvua leo inatutandika tu...
Huwa nafurahi kusikia Neno KARIBU toka kwako,SwahibaKaribu Swahiba....
Mvua leo inatutandika tu...