😘😘😘😘[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahahaha..shangazi Shunie Mie siko hukoNa we unamwamini kabisa anavyosema basi ngoja niwakubalie mnavyotaka
Za siku kiongozi.Hepi furahiday wadau.
Ndugu yenu nipo nimehamia vijiji vya ndani ndani kabisa, network napata nikiijia posho
Nafurahi kama uko salama swahiba wanguSalama kabisa Swahiba....
....sasa nimeshakiona kilima kimoja jirani, siwezi kukosa network hata kidogo.Za siku kiongozi.
Umepotea sana, jitahidi kutafuta network kwenye vilima😂